Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanashangiliwa kwa kuua elimu ya wanyonge

Nguvu kubwa inayotumika kuigawa Tanzania na kuleta matabaka makubwa ya kiuchumi, kifikra na kiutamaduni ni kuua elimu ya Watanzania wengi maskini (wanyonge), ili wakose nguvu za kushindana katika ulimwengu wa ubunifu, uvumbuzi, ajira na biashara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM imedhamiria kuua elimu nchini?

UAMUZI wa Rais Jakaya Kikwete kumwacha Dk. Shukuru Kawambwa kuendelea kuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ni tafsiri tosha kwamba serikali hii chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

9 years ago

Mwananchi

Siasa hatarini kuua elimu shule binafsi

Sekta binafsi kama ijulikanavyo ndiyo mhimili mkuu wa uchumi wa nchi inayofuata misingi ya uchumi wa soko huria. Haya ndiyo aliyoyasema hata Rais John Magufuli Alhamisi wiki iliyopita wakati akizungumza na wafanyabiashara jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Polisi, msiwe wanyonge kwa majambazi

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amesema serikali yake itaimarisha masilahi ya wafanyakazi wote wakiwamo polisi, ili wasiwe wanalinda na kukosa fedha za kula nyumbani na hatimaye kusinzia vituoni na kunyang’anywa silaha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siku ya Sheria iwe mkombozi kwa wanyonge

KESHO ni kilele cha Siku ya Sheria nchini, ni utaratibu wa kawaida wa kila mwaka uliojiwekea mhimili wa Mahakama. Kilele hicho ni ishara ya ufunguzi rasmi wa shughuli za Mahakama...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Ardhi ni kikwazo kwa maendeleo ya wanyonge nchini

Mimi ni mmoja kati ya wananchi waliofarijika, siku niliposikia Rais Benjamin Mkapa mwaka 2004 anamleta mtaalamu wa uchumi kuja kuisaidia Tanzania kubaini kila Mtanzania anamiliki nini kinachoweza kumsaidia kukopa katika benki na kumwinua kiuchumi.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yanasa wanne kwa tuhuma za kuua kwa ujira

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kagera, Henry MwaibambePOLISI mkoani Kagera, inashikilia watu wanne kwa tuhuma za kukodiwa kufanya mauaji yanayohusisha imani za kishirikina.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kuua mwanafunzi kwa moto

Jeshi la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumjeruhi kwa moto na kusababisha kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ruaha mkoani Iringa (RUCO), Daniel Lema (25).

 

9 years ago

Michuzi

UTT AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAFANYAKAZI WA TAASISI ZA ELIMU MKOANI TANGA

 Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa Kampuni ya UTT AMIS, Daud Mbaga (katikati), akitoa mada kuhusu Uwekezaji wa Pamoja wakati wa mkutano wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu Tanzania uliyofanyika mjini Tanga. (Na Mpigapicha Wetu)Mwanachama mpya wa UTT AMIS akijaza fomu ya kuwa mwekezaji katika mfuko wa Uwekezaji wa pamoja wa umoja wa UTT AMIS.Washiriki wakisikiliza mada kuhusu faida za Uwekezaji wa Pamoja wakati wa mkutano wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani