Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM imedhamiria kuua elimu nchini?

UAMUZI wa Rais Jakaya Kikwete kumwacha Dk. Shukuru Kawambwa kuendelea kuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ni tafsiri tosha kwamba serikali hii chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanashangiliwa kwa kuua elimu ya wanyonge

Nguvu kubwa inayotumika kuigawa Tanzania na kuleta matabaka makubwa ya kiuchumi, kifikra na kiutamaduni ni kuua elimu ya Watanzania wengi maskini (wanyonge), ili wakose nguvu za kushindana katika ulimwengu wa ubunifu, uvumbuzi, ajira na biashara.

 

9 years ago

Mwananchi

Siasa hatarini kuua elimu shule binafsi

Sekta binafsi kama ijulikanavyo ndiyo mhimili mkuu wa uchumi wa nchi inayofuata misingi ya uchumi wa soko huria. Haya ndiyo aliyoyasema hata Rais John Magufuli Alhamisi wiki iliyopita wakati akizungumza na wafanyabiashara jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa pamoja na viongozi wa elimu nchini wametembelea Singapore kujifunza jinsi nchi hiyo ilivyofanya mageuzi makubwa katika mfumo wa elimu na mafunzo.
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, unalenga kuendeleza wanafunzi katika kuwapatia stadi muhimu zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi.
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, umeweka mkazo zaidi katika kutoa mafunzo ya ufundi stadi ambayo yanatoa ujuzi kwa mhitimu kuweza kufanya kazi katika ...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa pamoja na viongozi wa elimu nchini watembelea Singapore kujifunza jinsi nchi hiyo ilivyofanya mageuzi makubwa katika mfumo wa elimu na mafunzo. Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, unalenga kuendeleza wanafunzi katika kuwapatia stadi muhimu zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi. Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, umeweka mkazo zaidi katika kutoa mafunzo ya ufundi stadi ambayo yanatoa ujuzi kwa mhitimu kuweza kufanya kazi katika kada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini

Uzoefu na tafiti vinaonyesha vijana wanaohitimu katika ngazi mbalimbali za elimu nchini wanakabiliwa na changamoto ya kupata ajira.

 

11 years ago

Habarileo

`Kifua kikuu namba 3 kuua nchini’

IMEELEZWA kuwa ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa wa tatu ambao unasababisha vifo vya watu wengi nchini, baada ya malaria na ukimwi. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid wakati akitoa tamko kuhusu ugonjwa huo kwenye ukumbi wa wizara hiyo mjini Dodoma.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyebaka na kuua achiwa huru nchini India

Mfungwa mchanga zaidi katika genge la wabakaji waliopatikana na hatia ya kubaka na kuua mwanamke mmoja mwaka wa 2012 ameachiliwa huru.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Urani inaweza kuua au kukuza uchumi nchini

Tanzania inaanza kuchimba madini ya urani katika mbuga ya wanyama ya Selous, eneo lililo chini ya udhamini wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughilikia mazingira maarufu kama World Heritage.

 

11 years ago

Mwananchi

Viyoyozi vya kuua mbu: mwarobaini wa malaria nchini

Malaria ni miongoni mwa magonjwa sugu ambayo yamekuwa yakichangia vifo vya Watanzania wengi hususan watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani