`Kifua kikuu namba 3 kuua nchini’
IMEELEZWA kuwa ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa wa tatu ambao unasababisha vifo vya watu wengi nchini, baada ya malaria na ukimwi. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid wakati akitoa tamko kuhusu ugonjwa huo kwenye ukumbi wa wizara hiyo mjini Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
SERIKALI YAPOKEA MAGARI NA PIKIPIKI KUKABILIANA NA UGONJWA WA KIFUA KIKUU NA UKOMA NCHINI
11 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yapokea gari na pikipiki kukabiliana na ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma nchini
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akipokea ufunguo wa moja ya gari kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) ikiwa ni ishara ya kukabidhi msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 jijini Dar es salaam.
Eleuteri Mangi-MAELEZO
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imepokea msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 kutoka Shirika la GLRA kutoka nchini Ujerumani kwa ajili...
11 years ago
MichuziKIFUA KIKUU NI UGONJWA WA TATU UNAOSABABISHA VIFO VYA WATU WENGI HAPA NCHINI.
10 years ago
GPL
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-3
10 years ago
GPL
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-2
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Kifua Kikuu hatari kwa vijana TZ
10 years ago
GPL
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Nyama, maziwa vyaweza kukuambukiza kifua kikuu