Nyama, maziwa vyaweza kukuambukiza kifua kikuu
Kitaalamu, TB ni ugonjwa unaoambukizwa kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/TB-2.jpg)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-3
Naendelea kuelezea undani wa ugonjwa wa kifua kikuu ambapo leo nitazitaja dalili zake. Watu wenye kifua kikuu tulivu ambao si wagonjwa, wanaweza kutumia vidonge vya Isoniazid kwa miezi mingi ili kuwakinga wasipate kifua kikuu kikali. Shirika la Afya Duniani (WHO) linapendekeza kuwa watu wenye VVU na kifua kikuu tulivu (lakini si kifua kikuu kikali) wapewe kinga ya Isoniazid kama inavyotakiwa. Kifua kikuu chenye usugu wa dawa...
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Kifua Kikuu hatari kwa vijana TZ
Watu milioni 3 wanakosa matibau ya TB ugonjwa ambao unawanyemelea vijana ambao ni nguvu kazi
11 years ago
Habarileo21 Mar
`Kifua kikuu namba 3 kuua nchini’
IMEELEZWA kuwa ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa wa tatu ambao unasababisha vifo vya watu wengi nchini, baada ya malaria na ukimwi. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid wakati akitoa tamko kuhusu ugonjwa huo kwenye ukumbi wa wizara hiyo mjini Dodoma.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D-MZDP0C1FSiTjO9cCMC-qHhuuQtFc4P06buhX02G-wCm0pD4LlZ4ef6D6cYn6cknne*K72ItmqlNq0IRDG7Og5/Cavitary_tuberculosis.jpg?width=650)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)
Kifua kikuu ambacho ni maarufu kwa kuitwa TB, ni ugonjwa unaosababishwa na kiumbehai. Bakteria wa Mycobacterium Tuberculosis (TB) anaweza kushambulia sehemu yoyote ya mwili, lakini mara nyingi hushambulia mapafu. Mtu anaweza kuwa na kifua kikuu kikali au tulivu. Kifua kikuu kikali au ugonjwa wa TB inamaanisha kuwa bakteria wanashambulia mwili na mfumo wa kinga unashindwa kuwazuia wasisababishe ugonjwa. Watu wenye kifua kikuu...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65ClpkkqsDO6KcpcLDmSj0B9GEz2gtxoeL*qKkyfnEeSJJXlwd2F*vBmzzItBkS7LDflMAJtfMRLXbOjyHBrTxT/TB2.jpg)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-2
Kwa baadhi ya watu, bakteria wa kifua kikuu wanakuwa tulivu maisha yote bila ya kuwa wakali. Lakini kwa watu wengine kifua kikuu kinaweza kuwa kikali iwapo mfumo wa kinga wa mtu unadhoofika- kwa mfano kwa VVU. Kifua kikuu kinaweza kubainishwa kwa kuingiza kiasi kidogo cha dawa inayoitwa Tuberculin kwenye ngozi ya mkono wa mtu. Iwapo ngozi itavimba ni dalili kwamba pengine mtu huyo ameambukizwa kifua kikuu.Hata hivyo, njia hii...
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa
Aina ya kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa zilizopo sasa, na ni vigumu kupata tiba kamili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CSQS0lFM1ss/XteA-eY5S7I/AAAAAAALsbo/l6O9yGxlfb0TWsg8wSavkmaLqgUC7_RxQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200528_150030_889.jpg)
TUNDURU YAANZA KAMPENI YA KUWAFUATILIA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-CSQS0lFM1ss/XteA-eY5S7I/AAAAAAALsbo/l6O9yGxlfb0TWsg8wSavkmaLqgUC7_RxQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200528_150030_889.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QbVG8j9Pigs/XnoLobxxUWI/AAAAAAALk7I/UsbzlPGrCb0PYscPOxcci_O9R_wkFi0MQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B4.00.38%2BPM.jpeg)
MAKUNDI YALIYO KARIBU KUPATA MAAMBUKIZI YA KIFUA KIKUU YATAJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QbVG8j9Pigs/XnoLobxxUWI/AAAAAAALk7I/UsbzlPGrCb0PYscPOxcci_O9R_wkFi0MQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B4.00.38%2BPM.jpeg)
Charles James, Globu ya JamiiKUTOKANA na kuwa na kinga dhaifu makundi ya wazee, watoto na watu wenye magonjwa ya kurithi wapo kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu.
Akizungumza jijini Dodoma leo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya kifua kikuu duniani, Dk Peres Lukango ambaye ni mratibu wa kifua kikuu na ukoma ngazi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VjUUuOeLWOg/XkmPhiOgJ0I/AAAAAAALdo4/QxYb9tndHvcIF4nVALvdPAQowigDSF2fACLcBGAsYHQ/s72-c/52ea065b-b050-4ebf-bf18-67d89c8abeff.jpg)
UTAPIA MLO WATAJWA CHANZO CHA KIFUA KIKUU KWA WATOTO
ATIZO la utapia mlo linalotokana na ukosefu wa lishe bora kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano linatajwa kuchangia kuongezeka kwa ugonjwa wa kifua kikuu ambao unapoteza maisha ya watoto wengi hapa nchini.
Hivyo,wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wao mlo kamili,mlo bora na kuzingatia kanuni bora za Afya kama njia mojawapo ya kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Mratibu wa kitengo cha kifua kikuu na Ukoma katika Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt...
Hivyo,wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wao mlo kamili,mlo bora na kuzingatia kanuni bora za Afya kama njia mojawapo ya kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Mratibu wa kitengo cha kifua kikuu na Ukoma katika Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania