TUNDURU YAANZA KAMPENI YA KUWAFUATILIA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-CSQS0lFM1ss/XteA-eY5S7I/AAAAAAALsbo/l6O9yGxlfb0TWsg8wSavkmaLqgUC7_RxQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200528_150030_889.jpg)
Mratibu wa kifua kikuu na ukoma wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Dkt. Mkasange Kihongole katikati akiwa na Mashono Said Amir wa pili kushoto ambaye alipatwa na ugonjwa wa kifua kikuu sugu na kukimbilia shambani ili asifahamike na wataalam wa Afya akiwa na wake zake Lios Bakari kushoto na Sharifa Maneno wa pili kulia mara baada ya kurudi kutoka katika matibabu Hospitali ya Kigong'oto mkoani Kilimanjaro ambapo ndiyo Hospitali inayohudumia wagonjwa wa kifua kikuu sugu,wa kwanza kulia ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yCxyzp1hEAY/XlOMos1qzrI/AAAAAAACBww/QMkj7U2pJT8VPSFCKMy-8dxzi7eI_pWjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200214_172657_945.jpg)
TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-yCxyzp1hEAY/XlOMos1qzrI/AAAAAAACBww/QMkj7U2pJT8VPSFCKMy-8dxzi7eI_pWjACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200214_172657_945.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zE99vUbaF3o/XlOufZLgWmI/AAAAAAALfBI/WFEhbKnScA4RvTyyjI3OSllIbDwCBcx4wCLcBGAsYHQ/s72-c/dsc_0009.jpg)
HOSPITALI YA TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAHISIWA WA KIFUA KIKUU
BAADHI ya wananchi wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma,wameipongeza Serikali kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru kuanza kuwatumia waganga wa Tiba asili na tiba mbadala waliosajiliwa kuibua wagonjwa wa kifua kikuu na kutoa rufaa ya kwenda hospitali kupata matibabu.
Wananchi hao waliokutwa katika kitongoji cha Mdingula kijiji cha Namasalau wakipata tiba katika moja ya kilinge cha mganga maarufu wa tiba asili na tiba mbadala Hausi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/TB-2.jpg)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-3
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65ClpkkqsDO6KcpcLDmSj0B9GEz2gtxoeL*qKkyfnEeSJJXlwd2F*vBmzzItBkS7LDflMAJtfMRLXbOjyHBrTxT/TB2.jpg)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-2
11 years ago
Habarileo21 Mar
`Kifua kikuu namba 3 kuua nchini’
IMEELEZWA kuwa ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa wa tatu ambao unasababisha vifo vya watu wengi nchini, baada ya malaria na ukimwi. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid wakati akitoa tamko kuhusu ugonjwa huo kwenye ukumbi wa wizara hiyo mjini Dodoma.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Kifua Kikuu hatari kwa vijana TZ
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D-MZDP0C1FSiTjO9cCMC-qHhuuQtFc4P06buhX02G-wCm0pD4LlZ4ef6D6cYn6cknne*K72ItmqlNq0IRDG7Og5/Cavitary_tuberculosis.jpg?width=650)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Nyama, maziwa vyaweza kukuambukiza kifua kikuu