UTAPIA MLO WATAJWA CHANZO CHA KIFUA KIKUU KWA WATOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-VjUUuOeLWOg/XkmPhiOgJ0I/AAAAAAALdo4/QxYb9tndHvcIF4nVALvdPAQowigDSF2fACLcBGAsYHQ/s72-c/52ea065b-b050-4ebf-bf18-67d89c8abeff.jpg)
ATIZO la utapia mlo linalotokana na ukosefu wa lishe bora kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano linatajwa kuchangia kuongezeka kwa ugonjwa wa kifua kikuu ambao unapoteza maisha ya watoto wengi hapa nchini.
Hivyo,wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wao mlo kamili,mlo bora na kuzingatia kanuni bora za Afya kama njia mojawapo ya kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Mratibu wa kitengo cha kifua kikuu na Ukoma katika Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nzige huenda wakasababisha ukosefu wa chakula na utapia mlo
9 years ago
Habarileo10 Oct
Umbumbumbu watajwa chanzo cha ajali
KUKOSEKANA kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbalimbali hapa nchini.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Kifua Kikuu hatari kwa vijana TZ
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IqC97l29FIU/VRA6W2MSwGI/AAAAAAAHMgo/6E9Z_l_Z8h0/s72-c/DSC_0973.jpg)
TANZANIA NI NCHI YA SITA KWA KUWA NA IDADI KUBWA YA WATU WENYE UGONJWA WA KIFUA KIKUU BARANI AFRIKA
Utafiti unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya vifo vya watu walioathirika na Ukimwi vinatokana na Ugomjwa wa Kifua Kukuu na inakadiriwa kuwa tangu kuanza kwa ugonjwa wa ukimwi, kati ya asilimia tano (5) hadi 10 ya watu wenye VVU wana ugonjwa wa kifua kikuu na takribani ya asilimia 40 wanaouguwa kifua kikuu wana maambukizo ya VVU.
Hayo yamesemwa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Donan Mmbando wakati akitangaza maadhimisho ya siku...
10 years ago
Habarileo09 Apr
Chanzo cha watoto mitaani chaelezwa
MOJA ya sababu kubwa ya kuwapo kwa watoto wa mitaani nchini ni wazazi na walezi kuacha kuwajibika na kuwatekelezea haki zao watoto.
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
UNICEF: Vita Syria chanzo cha watoto kutosoma, kucheza
TAKRIBAN watoto 10,000 wameuawa nchini Syria, kutokana na mzozo wa kivita unaoendelea kwa sasa. Mzozo huo unakamilisha miaka mitatu sasa tangu uibuke katika taifa hilo tajiri la mafuta. Halikadhalika, mpaka...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Uongozi mbaya wa shule chanzo cha ugonjwa wa watoto kupagawa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYroIhRbPRIFCfBywLV7KJ*IsDdG6lZDybr2Z48nYLsnbCleIYgDwFCeTiqMm*XvY9hLG*a-9EVO6sKrrTVYR5uk/MiriamGiovanelli1920x1080001.jpg?width=650)
SHOGA, UPATU ISIWE CHANZO CHA KUNYANYASA WATOTO WAKO