Nzige huenda wakasababisha ukosefu wa chakula na utapia mlo
Makundi ya nzige ambayo hayajawahi kushuhudiwa kabla yanamaliza mazao Afrika Mashariki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VjUUuOeLWOg/XkmPhiOgJ0I/AAAAAAALdo4/QxYb9tndHvcIF4nVALvdPAQowigDSF2fACLcBGAsYHQ/s72-c/52ea065b-b050-4ebf-bf18-67d89c8abeff.jpg)
UTAPIA MLO WATAJWA CHANZO CHA KIFUA KIKUU KWA WATOTO
Hivyo,wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wao mlo kamili,mlo bora na kuzingatia kanuni bora za Afya kama njia mojawapo ya kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Mratibu wa kitengo cha kifua kikuu na Ukoma katika Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt...
10 years ago
MichuziUKOSEFU WA CHAKULA MASHULENI WACHANGIA UTORO
Na Woinde Shizza,Arusha
Ukosefu wa Chakula sheleni hususan zile zinazomilikiwa na serikali
umetajwa kuwa chanzo kikubwa kinasababisha wanafunzi kutoroka
mashuleni na kwenda kujitafutia chakula hali inayoathiri taaluma na
maendeleo ya elimu nchini.
Mwanakijiji wa kijiji cha Arkata Kipara Ngine amesema kuwa watoto
wengi wamekua wakitoroka shuleni kwa kukosa chakula hivyo kupelekea
idadi ndogo ya mahudhurio mashuleni.
Kipara ameihasa saerikali kwa kushirikiana na mashirika binafsi pamoja
na wazazi...
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Makahaba wahangaika kwa ukosefu wa chakula
10 years ago
StarTV14 Apr
Ukosefu wa chakula shuleni, TAMISEMI yawalaumu Wakuu wa shule waliozifunga.
Na Gloria Matola
Dar Es Salaam
Serikali imewaagiza wakuu wa shule za sekondari katika mikoa ya Kagera, Kilimanjaro, Dodoma na Tabora waliozifunga shule kwa madai ya kukosa chakula kuzifungua kutokana na kupelekwa pesa kwa kila halmashauri ili kukidhi mahitaji ya chakula katika shule hizo.
Katibu mkuu wa Tawala za mikoa na serikali za mitaa Jumanne Sagini amesema Serikali imetenga shilingi billion 28.1 kwa kila Halmashauri kwa shule za sekondari za bweni kwaajili ya chakula ambapo hadi...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Zambarau mlo kamili Chamwino
KUNDI kubwa la watoto jana lilifika kwenye miti ya mizambarau karibu na kituo cha Polisi cha Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuchuma zambarau ambazo wamedai ni kwa ajili ya chakula na hata kuuza ili wapate fedha za kununua madaftari.
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Mlo unaofaa kwa wanaofunga
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Mume mgomvi aandaliwa mlo wa kondomu
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Nzige na tumbiri hawataangamiza shamba la CHADEMA
MAADUI wenye nia mbaya ya kutaka kubomoa nchi yenye amani na utulivu, wanaojigeuza kuwa wadudu ama wanyama waharibifu wa mazao yaliyolimwa na binadamu wenye akili na nguvu zao wanaweza kufananishwa...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Umuhimu wa udhibiti wa chumvi kwenye mlo