UKOSEFU WA CHAKULA MASHULENI WACHANGIA UTORO
Na Woinde Shizza,Arusha
Ukosefu wa Chakula sheleni hususan zile zinazomilikiwa na serikali
umetajwa kuwa chanzo kikubwa kinasababisha wanafunzi kutoroka
mashuleni na kwenda kujitafutia chakula hali inayoathiri taaluma na
maendeleo ya elimu nchini.
Mwanakijiji wa kijiji cha Arkata Kipara Ngine amesema kuwa watoto
wengi wamekua wakitoroka shuleni kwa kukosa chakula hivyo kupelekea
idadi ndogo ya mahudhurio mashuleni.
Kipara ameihasa saerikali kwa kushirikiana na mashirika binafsi pamoja
na wazazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pYo728rS*VEXIk-p3hhOQIuKI2Tr91ZnMJ*i2Qz2EBb8MSG2cC0TLo9dnapVn-vTc64ZX8A4CNQLOhSur-UGeQrqQp6CG5ok/001.MTWARA.jpg?width=650)
UTORO MASHULENI KWA WATOTO WA KIKE WAPUNGUA MKOANI MTWARA
9 years ago
StarTV06 Nov
Ukosefu wa elimu ya usafiri wa anga wachangia malalamiko kwa wateja.
Kukosekana kwa elimu juu ya dhana ya usafiri wa anga kwa bei nafuu inatajwa kuwa sababu ya malalamiko ya watumiaji wa usafiri huo kutokana na malipo yanayoongezeka tofauti na gharama ya tiketi husika.
Hayo yamebainishwa katika warsha iliyoandaliwa na baraza la ushauri la watumiaji wa huduma ya usafiri wa anga Tanzania TCAACCC jijini Mwanza ambapo wadau mbalimbali wa sekta hiyo wamehudhuria.
Kutokueleweka kwa biashara ya usafiri wa anga kwa bei nafuu imekuwa chanzo cha malalamiko kutoka kwa...
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nzige huenda wakasababisha ukosefu wa chakula na utapia mlo
10 years ago
StarTV14 Apr
Ukosefu wa chakula shuleni, TAMISEMI yawalaumu Wakuu wa shule waliozifunga.
Na Gloria Matola
Dar Es Salaam
Serikali imewaagiza wakuu wa shule za sekondari katika mikoa ya Kagera, Kilimanjaro, Dodoma na Tabora waliozifunga shule kwa madai ya kukosa chakula kuzifungua kutokana na kupelekwa pesa kwa kila halmashauri ili kukidhi mahitaji ya chakula katika shule hizo.
Katibu mkuu wa Tawala za mikoa na serikali za mitaa Jumanne Sagini amesema Serikali imetenga shilingi billion 28.1 kwa kila Halmashauri kwa shule za sekondari za bweni kwaajili ya chakula ambapo hadi...
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Makahaba wahangaika kwa ukosefu wa chakula
9 years ago
VijimamboMAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC
9 years ago
MichuziVOA AFRICA 54 YAFANYA MAHOJIANO NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA , AMBAYE YUPO WASHINGTON DC KWA AJILI YA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Wabunge vinara wa utoro