Virusi vya corona: Makahaba wahangaika kwa ukosefu wa chakula
Makahaba nchini Uganda wamekiri kutaabika kipindi hiki cha corona kwa ukosefu wa wateja wakilalamikia kukosa hata chakula.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Sheria za amri ya kutotoka nje zinavyowaathiri makahaba Afrika
Janga virusi vya corona umesababisha nchi mbali mbali duniani kulazimika kutangaza amri ya kutotoka nje ili kuzuwia maambukizi ya virusi ambavyo tayari vimesababisha vifo zaidi ya 2000 barani Afrika vilivyorekodiwa.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Waziri asimamishwa kazi kwa kushiriki chakula na rafiki yake A.Kusini
Waziri wa habari nchini Afrika Kusini amesimamishwa kazi kwa miezi miwili mwezi mmoja bila mshahara kwa kupata chakula cha mchana na rafiki yake wakati huu ambao kuna amri ya kutotoka nje.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Je virusi vya corona ni majaribu kiasi gani kwa Afrika?
Ongezeko la visa vya ugonjwa wa Covid-19 ni changamoto kubwa kwa sekta za Afya barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya Corona: Kwa nini ni muhimu kupima virusi vya corona?
Kila nchi imeonekana ikikabiliana na mlipuko wa virusi vya corona kwa namna yake ,lakini yawezekana kuwa suala la kila mtu kupima virusi vya corona ni muhimu na kila nchi kuzingatia hilo.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini mpishi huyu anapika chakula akidensi?
Mpishi raia wa Kenya anayeishi nchini Ujerumani, Carol Waithira Mühlenbrock, ametajwa kama mchezadensi mpishi ambaye anawaliwaza watu wakati wa janga la Covid-19.
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama
Mamia ya wafanyakazi wamepatikana na virusi vya corona katika makapuni ya kutengeneza nyama na machinjioni
5 years ago
BBCSwahili01 Apr
Coronavirus: Je ukipoteza uwezo wa kunusa harufu na ladha ya chakula utakuwa umepata virusi vya corona?
Hata hivyo wataalamu wanasisitiza kuwa dalili kuu ni homa na kikozi ndio za kuzitazama zaidi.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania