Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukosefu wa chakula shuleni, TAMISEMI yawalaumu Wakuu wa shule waliozifunga.

Na Gloria Matola

Dar Es Salaam

 

Serikali imewaagiza wakuu wa shule za sekondari katika mikoa ya Kagera, Kilimanjaro, Dodoma na Tabora waliozifunga shule kwa madai ya kukosa chakula kuzifungua kutokana na kupelekwa pesa kwa kila halmashauri ili kukidhi mahitaji ya chakula katika shule hizo.

 

Katibu mkuu wa Tawala za mikoa na serikali za mitaa Jumanne Sagini amesema Serikali imetenga shilingi billion 28.1 kwa kila Halmashauri kwa shule za sekondari za bweni kwaajili ya chakula ambapo hadi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO

Katibu mkuu wa Wizara ya Tamisemi Jumanne Sagini akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Serikali…

 

10 years ago

GPL

UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU

Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo. Ilemela ni moja kati ya majimbo saba yanayounda Mkoa wa Mwanza ambalo linaongozwa na Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo (CHADEMA). Wiki iliyopita, Uwazi lilitembelea Kata za Nyakato, Mecco, Buzuruga, Nyasaka, Ilemela, Kahama, Kiseke, Sangabuye, Kayenze, Bugongwa, Shibuda, Pasiansi, Kawekamo, Kitangiri, Kirumba,...

 

10 years ago

Michuzi

UKOSEFU WA CHAKULA MASHULENI WACHANGIA UTORO


 
Na Woinde Shizza,Arusha
Ukosefu wa Chakula sheleni hususan zile zinazomilikiwa na serikali
umetajwa kuwa chanzo kikubwa kinasababisha wanafunzi kutoroka
mashuleni na kwenda kujitafutia chakula hali inayoathiri taaluma na
maendeleo ya elimu nchini.


Mwanakijiji wa kijiji cha Arkata  Kipara Ngine amesema kuwa watoto
wengi wamekua wakitoroka shuleni kwa kukosa chakula hivyo kupelekea
idadi ndogo ya mahudhurio  mashuleni.

Kipara ameihasa saerikali kwa kushirikiana na mashirika binafsi pamoja
na wazazi...

 

10 years ago

Habarileo

Chakula shuleni chapunguza wajawazito

SHULE ya Sekondari Kilimani, Manispaa ya Sumbawanga imefanikiwa kupunguza idadi ya wanafunzi wa kike wanaopata ujauzito na kukatiza masomo. Hii ni baada ya kuandaa ratiba inayowafanya wanafunzi kutumia muda wao mwingi kujisomea shuleni hapo hadi nyakati za jioni.

 

10 years ago

GPL

TAMISEMI YATOA MAFUNZO KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA

Waziri kutoka Ofisiya Waziri Mkuu TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia akizungumza mapema hii leo katika siku ya kwanza ya mafunzo ya Wakuu wa Wilaya wapya ishirini na saba yanayoendelea katika ukumbi wa hoteli ya St. Gaspar mjini Dodoma. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa ambaye pia ni Mkuu wa Mkoawa Mbeya Mh. Abbas Kandoro, Naibu Waziri wa TAMISEMI Mh. Aggrey Mwanri, Katibu Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne A. Sagini na Naibu Katibu Mkuu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Nzige huenda wakasababisha ukosefu wa chakula na utapia mlo

Makundi ya nzige ambayo hayajawahi kushuhudiwa kabla yanamaliza mazao Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Habarileo

Wagoma kuchanga Sh 500 kuwezesha chakula shuleni

SHULE 27 za msingi katika Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, zimetishiwa kuondolewa wenye mpango wa kupatiwa chakula shuleni unaoendeshwa na Shirika la Chakula Duniani (WFP) kutokana na wazazi kugoma kuchangia kati ya Sh 500 na Sh 1,000 kwa mwezi ili watoto wao wapate chakula shuleni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Makahaba wahangaika kwa ukosefu wa chakula

Makahaba nchini Uganda wamekiri kutaabika kipindi hiki cha corona kwa ukosefu wa wateja wakilalamikia kukosa hata chakula.

 

11 years ago

GPL

JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI

Darasa la muziki katika taasisi ya shule ya muziki Reutlingen,Ujerumani . Jhikoman akiwafundisha wanafunzi kutumia gitaa katika shule ya muziki Reutlingen.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani