Wagoma kuchanga Sh 500 kuwezesha chakula shuleni
SHULE 27 za msingi katika Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, zimetishiwa kuondolewa wenye mpango wa kupatiwa chakula shuleni unaoendeshwa na Shirika la Chakula Duniani (WFP) kutokana na wazazi kugoma kuchangia kati ya Sh 500 na Sh 1,000 kwa mwezi ili watoto wao wapate chakula shuleni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Oct
Chakula shuleni chapunguza wajawazito
SHULE ya Sekondari Kilimani, Manispaa ya Sumbawanga imefanikiwa kupunguza idadi ya wanafunzi wa kike wanaopata ujauzito na kukatiza masomo. Hii ni baada ya kuandaa ratiba inayowafanya wanafunzi kutumia muda wao mwingi kujisomea shuleni hapo hadi nyakati za jioni.
10 years ago
StarTV14 Apr
Ukosefu wa chakula shuleni, TAMISEMI yawalaumu Wakuu wa shule waliozifunga.
Na Gloria Matola
Dar Es Salaam
Serikali imewaagiza wakuu wa shule za sekondari katika mikoa ya Kagera, Kilimanjaro, Dodoma na Tabora waliozifunga shule kwa madai ya kukosa chakula kuzifungua kutokana na kupelekwa pesa kwa kila halmashauri ili kukidhi mahitaji ya chakula katika shule hizo.
Katibu mkuu wa Tawala za mikoa na serikali za mitaa Jumanne Sagini amesema Serikali imetenga shilingi billion 28.1 kwa kila Halmashauri kwa shule za sekondari za bweni kwaajili ya chakula ambapo hadi...
11 years ago
Michuzi21 May
PROFESA ANA TIBAIJUKA AKABIDHI RASMI ZAWADI YAKE YA TSH.9,500,000 MAMA SHUJAA WA CHAKULA
11 years ago
Dewji Blog21 May
Profesa Ana Tibaijuka akabidhi rasmi zawadi yake ya Tsh.9,500,000 kwa Mama Shujaa wa Chakula
Mkurugenzi mtendaji wa DMB ambao ndio wamiliki wa Shindano la Maisha Plus Masoud Ally ‘Kipanya’ akiwa anaendelea kuendesha ratiba wakati wa Sherehe fupi za Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kukabidhi zawadi kwa washindi wa Mama shujaa wa Chakula pamoja na washiriki wote wa Maisha Plus 2014.
Afisa Mradi wa UKIMWI kutoka OXFAM Ester Mhagama akifungua rasmi sherehe hiyo fupi ya utoaji wa zawadi pamoja na kumkaribisha Mgeni rasmi apate kuongea na Mama...
11 years ago
GPLPROFESA ANA TIBAIJUKA AKABIDHI RASMI ZAWADI YAKE YA TSH 9,500,000 MAMA SHUJAA WA CHAKULA
9 years ago
CHADEMA Blog
Ukawa kuchanga Mil 33.9 kusaidia familia ya Mawazo
10 years ago
GPL
MAGUFULI AZIDI KUCHANGA MBUGA MKOANI TABORA
10 years ago
Mtanzania12 May
Niyonzima, Twite waanza kuchanga karata zao
JENNIFER ULLEMBO NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
WACHEZAJI wa Kimataifa wa Yanga, Haruna Niyonzima na Mbuyu Twite, wameanza kuchanga karata zao kuelekea katika msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2014/2015, wakijiwekea malengo ya hatima yao katika soka.
Niyonzima, ambaye mkataba wake umebakiza mwezi mmoja kwisha, amedai kwa klabu yake ya Yanga dau la dola Elfu 50, sawa na Sh milioni 100 za Tanzania, ili kuingia mkataba mpya wa kuichezea klabu hiyo msimu ujao, wakati Twite yeye ametua nchini...
10 years ago
VijimamboMAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC