Niyonzima, Twite waanza kuchanga karata zao
JENNIFER ULLEMBO NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
WACHEZAJI wa Kimataifa wa Yanga, Haruna Niyonzima na Mbuyu Twite, wameanza kuchanga karata zao kuelekea katika msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2014/2015, wakijiwekea malengo ya hatima yao katika soka.
Niyonzima, ambaye mkataba wake umebakiza mwezi mmoja kwisha, amedai kwa klabu yake ya Yanga dau la dola Elfu 50, sawa na Sh milioni 100 za Tanzania, ili kuingia mkataba mpya wa kuichezea klabu hiyo msimu ujao, wakati Twite yeye ametua nchini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
MillardAyo10 Mar
PICHA 10: Mastaa wa soka Bongo Niyonzima, Kaseja, Okwi, Manula na Himid wakiwa na wake zao
10 years ago
GPL
MAGUFULI AZIDI KUCHANGA MBUGA MKOANI TABORA
11 years ago
Habarileo05 Oct
Wagoma kuchanga Sh 500 kuwezesha chakula shuleni
SHULE 27 za msingi katika Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, zimetishiwa kuondolewa wenye mpango wa kupatiwa chakula shuleni unaoendeshwa na Shirika la Chakula Duniani (WFP) kutokana na wazazi kugoma kuchangia kati ya Sh 500 na Sh 1,000 kwa mwezi ili watoto wao wapate chakula shuleni.
9 years ago
CHADEMA Blog
Ukawa kuchanga Mil 33.9 kusaidia familia ya Mawazo
11 years ago
GPL
Twite: Kifo kimenibakiza Yanga
11 years ago
GPL
Yanga yamalizana na mrithi wa Twite
11 years ago
GPL
Yanga yampa Twite milioni 40
11 years ago
GPL
TWITE AONGEZA MKATABA YANGA