Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge vinara wa utoro

Mwenyekiti wa bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amewanyooshea kidole wabunge wa Bunge la Muungano kwamba wanaongoza kwa utoro kwenye vikao vya kamati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wabunge washangazwa na utoro wa mawaziri

WABUNGE jana walishangazwa na kitendo cha mawaziri na manaibu, kutohudhuria vikao vya Bunge, licha ya kuwepo kwa matukio muhimu kwa nchi yanayojadiliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Utoro wa wabunge umeathiri Bajeti ya Serikali

Bunge kwa siku kadhaa limekuwa likijadili Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16. Jambo la kusikitisha ni kuwa, kinyume na mijadala ya bajeti kuu za Serikali iliyofanyika miaka ya nyuma, mjadala wa bajeti ya mwaka wa fedha ujao umekuwa na upungufu mkubwa kutokana na kuhusisha idadi ndogo sana ya wabunge.

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU SPIKA AFUNGUA MAFUNZO YA WABUNGE WANAUME VINARA WA MASUALA YA JINSIA


Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza wakati akifungua mafunzo ya ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsia kwa Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa  Wabunge wanaume Vinara wa Jinsia Mhe. William Ngeleja na kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Umoja ya Wabunge Wanawake...

 

5 years ago

CCM Blog

NAIBU SPIKA TULIA AFUNGUA MAFUNZO YA WABUNGE WANAUME VINARA WA MASUALA YA JINSIA


Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kushoto), akizungumza jambo wakati alipofungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsia kwa Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa  Wabunge wanaume Vinara wa Jinsia Mhe. William Ngeleja na kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Umoja ya Wabunge Wanawake (TWPG) Mhe. Zainab Vullu.Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza wakati akifungua mafunzo...

 

10 years ago

Mwananchi

Utoro wakithiri shule za Dodoma

Mkoa wa Dodoma bado unakabiliwa na utoro wa wanafunzi, jambo linalosababisa idadi kubwa ya vijana kuzurura mitaani.

 

10 years ago

Habarileo

Spika akemea utoro bungeni

Spika wa Bunge, Anna Makinda.SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Makinda amesikitishwa na wimbi la wabunge kutofika kwenye vikao vya mjadala wa bajeti ya serikali mwaka 2015/16.

 

10 years ago

Mwananchi

Utoro bungeni sasa unakinaisha

Bunge la Jamhuri ya Muungano ni chombo cha uwakilishi wa wananchi katika kufanya uamuzi mbalimbali unaohusu Taifa hili na raia wake. Ni chombo cha uwakilishi ambacho kinatekeleza sehemu ya dhana ya demokrasia ya kushirikisha wananchi katika kuamua mambo yanayowahusu.

 

10 years ago

Mwananchi

Utoro waahirisha kikao cha kamati

Kukosekana kwa akidi ya wajumbe katika kamati za Bunge la Katiba kumeendelea kukwaza vikao pamoja na kukwamisha kufikia uamuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Utoro BLW wakwamisha bajeti Z’bar

Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW) limekwama kukaa kama kamati ya matumizi na vikao kwa mara ya tano tangu kuanza kujadili bajeti za mwaka wa fedha 2014/15 Mei 14 mwaka huu kutokana na tatizo la wajumbe kuwa watoro wa kuhudhuria vikao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani