Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utoro waahirisha kikao cha kamati

Kukosekana kwa akidi ya wajumbe katika kamati za Bunge la Katiba kumeendelea kukwaza vikao pamoja na kukwamisha kufikia uamuzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) kinachoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Mjini Dodoma. Kikao hiki kinapitia majina yote 38 ya Watangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM, ambapo majina matano yatapatikana baada ya kikao hiki.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM - Zanzibar, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara,...

 

10 years ago

GPL

UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)

Kamati ya Usalama na Maadili tayari imemaliza kikao chake. Kamati Kuu itaanza kikao chake saa 10 jioni

 

11 years ago

Michuzi

SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI CHA BUNGE MAALUM LEO

 Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sita akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi cha Bunge hilo kilichokaa leo kupanga ratiba ya Bunge hilo linaloanza  jumanne 5 Agosti 2014 baada ya kuarishwa tarehe 25 Aprili 2014. Picha na Owen Mwandumbya

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KIKAO CHA DHARULA CHA KAMATI KUU YA CCM JIJINI DAR

  Mjumbe wa Kamati Kuu CCM, na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akishiriki na baadhi ya wajumbe wa CCM kusimama na kuomboleza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki, marehemu Celina Kombani, wakati wajumbe hao walipokutana kwa dharula jijini Dar es Salaam, jana Okt 10, 2015. Mjumbe wa Kamati Kuu CCM, na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baada ya kumalizika kwa kikao cha dharula,...

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA KAMATI YA MAAFA PEMBA

WAJUMBE wa kamati ya Maafa Wilaya ya Chake Chake na walimu wa skuli za msingi na Sekondari Wilaya hiyo, wakiwa katika kazi za vikundi wakipitia kwa makini mkakati wa pili wa Taifa wa utetezi wa mawasiliano Zanzibar, huko katika ukumbiwa wa Madungu Sekondari Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)WAJUMBE wa kamati ya Maafa Wilaya ya Chake Chake na walimu wa skuli za msingi na Sekondari Wilaya hiyo, wakiwa katika kazi za vikundi wakipitia kwa makini mkakati wa pili wa Taifa wa utetezi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA KAMATI KUU MAALUM

Kikao Maalum cha Kamati Kuu kitachuja majina na kubaki matano (5) Mji wa Dodoma wafurika Usalama waongezwaMwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete(wa pili kushoto) akiongoza kikao cha Kamati Kuu Maalum cha CCM mjini Dodoma, Kikao hicho kitachuja majina ya wagombea na kupata majina matano(5) .Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa taarifa fupi ya wajumbe waliohudhuria kikao cha Kamati Kuu Maalum ambapo wajumbe 28 walihudhuria...

 

11 years ago

Michuzi

SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI

Mwenyekiti wa Bunge la Maalum la Katiba Mhe. Samwel Sitta, akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi cha  Bunge  hilo  mjini Dodoma jana , Kufanya  tathmini ya vikao vya Kamati za Bunge hilo vinavyoendelea, ambapo wenyeviti wa Kamati hizo walionyesha kuridhishwa kwao na  hatua  wanayoendelea  nayo katika Ngazi ya kamati. Picha na Owen Mwandumbya

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wasusa kikao cha kamati ya ushauri

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi.KATIKA hali isiyotarajiwa Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Said Amour Arfi na Mbunge wa Viti Maalumu, Anna Malaki wote kwa tiketi ya Chadema wametoka nje ya kikao cha Kamati ya ushauri ya Wilaya ya Mpanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani