UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)
![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKvSG3Ilte4JmnLdlWueG0OReBv2ULhrS0hFku9s3SxJilAy*5nA65n-yuwpTIZ*5qgDiRZCK4PQqCey1Yl8JZK/KAMATIYAMAADILI.png)
Kamati ya Usalama na Maadili tayari imemaliza kikao chake. Kamati Kuu itaanza kikao chake saa 10 jioni
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s72-c/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
JK alipotua Dodoma kuongoza kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili majina ya walioomba kugombea Uspika
![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s640/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1T2y99qqkA/VkiW1el6J9I/AAAAAAAIF74/byI1HWv9iRU/s640/231f052ece9fe2d443699739ec975e0a.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7e8teRwi6FI/VaAF8usENgI/AAAAAAAHoh0/3WldN6evCsU/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
JK aongoza kikao Maalum cha Kamati kuu dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-7e8teRwi6FI/VaAF8usENgI/AAAAAAAHoh0/3WldN6evCsU/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao maalum cha kamati kuu ya CCM katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo jioni.Kikao hicho pamoja na Mambo mengine kitachagua wagombea watano ambao majina yao yatapelekwa katika Halmashauri kuu katika mchakato wa kumpata mgombea atakaye peperusha bendera ya CCM kuwania nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar ambaye pia ni Rais wa SMZ Dkt.Ali Mohamed...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Maamuzi ya kikao cha Kamati Kuu mjini Dodoma
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti Makao Makuu ya CCM Dodoma.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi alisema, Kamati Kuu pamoja na mambo mengine, ilipokea taarifa na kufanya tathimini juu ya maendeleo ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba nchini, ndani na nje ya Bunge.
Kamati Kuu vilele imepokea na kujadili taarifa kuhusu mazungumzo na mashauriano kati ya vyama vya CUF, CHADEMA,...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-qSz_QvGivLE/VkiGDJL195I/AAAAAAAArXg/6FFVphVIpA8/s72-c/7.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-qSz_QvGivLE/VkiGDJL195I/AAAAAAAArXg/6FFVphVIpA8/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIjgvAY0Xsg/VkiGG4Gm-iI/AAAAAAAArXw/R73VL_h9LVI/s640/8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU DODOMA
9 years ago
CCM Blog15 Nov
KIKAO CHA KAMATI KUU KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM inatarajiwa kufanya kikao chake cha siku moja mjini Dodoma kesho Novemba 15, 2015 kujadili majina ya wana-CCM walioomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa Rasmi - Uspika