Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utoro bungeni sasa unakinaisha

Bunge la Jamhuri ya Muungano ni chombo cha uwakilishi wa wananchi katika kufanya uamuzi mbalimbali unaohusu Taifa hili na raia wake. Ni chombo cha uwakilishi ambacho kinatekeleza sehemu ya dhana ya demokrasia ya kushirikisha wananchi katika kuamua mambo yanayowahusu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Spika akemea utoro bungeni

Spika wa Bunge, Anna Makinda.SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Makinda amesikitishwa na wimbi la wabunge kutofika kwenye vikao vya mjadala wa bajeti ya serikali mwaka 2015/16.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabadiliko sasa kuhamia CCM, bungeni

>Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vitalazimika kufanya mabadiliko katika safu zake za uongozi kutokana na athari zilizosababishwa na mabadiliko yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete katika Baraza la Mawaziri.

 

11 years ago

Michuzi

SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA

Video imepigwa na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .

 

10 years ago

Michuzi

msikilize mwenyekiti wa PAC MHE ZITTO KABWE AKISOMA RIPOTI YA ESCROW BUNGENI SASA KUPITIA KWANZA JAMII RADIO

http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
ama jiunge na aitv mobile uone live!

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge vinara wa utoro

Mwenyekiti wa bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amewanyooshea kidole wabunge wa Bunge la Muungano kwamba wanaongoza kwa utoro kwenye vikao vya kamati.

 

10 years ago

Mwananchi

Utoro wakithiri shule za Dodoma

Mkoa wa Dodoma bado unakabiliwa na utoro wa wanafunzi, jambo linalosababisa idadi kubwa ya vijana kuzurura mitaani.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge washangazwa na utoro wa mawaziri

WABUNGE jana walishangazwa na kitendo cha mawaziri na manaibu, kutohudhuria vikao vya Bunge, licha ya kuwepo kwa matukio muhimu kwa nchi yanayojadiliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Utoro waahirisha kikao cha kamati

Kukosekana kwa akidi ya wajumbe katika kamati za Bunge la Katiba kumeendelea kukwaza vikao pamoja na kukwamisha kufikia uamuzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shinyanga yaongoza utoro wa watoto shuleni

MKOA wa Shinyanga umetajwa kuongoza kwa kuwa na watoto wengi wasiohudhuria shule ambapo hukimbilia katika uchimbaji wa madini. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani