Shinyanga yaongoza utoro wa watoto shuleni
MKOA wa Shinyanga umetajwa kuongoza kwa kuwa na watoto wengi wasiohudhuria shule ambapo hukimbilia katika uchimbaji wa madini. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 Jan
Utoro shuleni Bukombe 50% - Kuendekeza ngono, machimbo ya dhahabu vyachangia
Na Mariam Mkumbaru, Bukombe
MATARAJIO ya wazazi wengi ni kuona watoto wanapoanza shule wanahitimu masomo yao kwa kufikia ngazi za juu za elimu. Hata hivyo, matarajio hayo hayafikiwi katika maeneo mengi hapa nchini kwani watoto wengi hushindwa kuhitimu kutokana na tatizo la utoro.
Tatizo la utoro shuleni ni changamoto kubwa katika sekta ya elimu nchini kwani shule nyingi katika maeneo mbalimbali zinakabiliwa na changamoto hiyo. Miongoni mwa wilaya ambazo tatizo hilo ni kubwa ni pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yY4Xe6DNog8/XnjNyQm-X1I/AAAAAAALk1w/l73Q1Yjo36Y-ua5Joq3KK2idh8HFs2kEwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_648_800x420_0_0_auto.jpg)
WAJUMBE BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA ARUMERU WAKUBALIANA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI NA UTORO SHULENI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pYo728rS*VEXIk-p3hhOQIuKI2Tr91ZnMJ*i2Qz2EBb8MSG2cC0TLo9dnapVn-vTc64ZX8A4CNQLOhSur-UGeQrqQp6CG5ok/001.MTWARA.jpg?width=650)
UTORO MASHULENI KWA WATOTO WA KIKE WAPUNGUA MKOANI MTWARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eQPXYC70aYY/XuC5JFSSvMI/AAAAAAALtU0/jb-I3Xs9CjUVJb1TgoUdWzS0eP7OguDIACLcBGAsYHQ/s72-c/2-8-768x432.jpg)
DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-eQPXYC70aYY/XuC5JFSSvMI/AAAAAAALtU0/jb-I3Xs9CjUVJb1TgoUdWzS0eP7OguDIACLcBGAsYHQ/s640/2-8-768x432.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-11-1024x576.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Watoto wadaiwa kuibwa shuleni
10 years ago
Vijimambo08 Jul
‘WATOTO’ WA DIAMOND WARUDISHWA SHULENI
![](http://api.ning.com/files/o1QX7UF1Vt4T*4ofbENGAVfgFQ0J*XxSfoazlh*iN*2kfqdzzA8F4qxfWVYc3oI5-5v4GIB6lKy*Am4Zve4Wqel1vf5-c-z9/dshule9.jpeg?width=650)
Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha GPL
BAADA ya vuta nikuvute ya wazazi wa wanafunzi, Hilary na Hamis ‘watoto wa Diamond’ walioshinda katika shindano la kucheza Ngololo mwaka jana na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuahidi kuwasomesha katika shule ya East Africa International iliyopo Mikocheni, Dar huku akishindwa kuwalipia ada na watoto hao kurudishwa nyumbani, hatimaye wamerejeshwa tena shuleni.
Baada ya gazeti hili kuripoti habari...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Watoto wa maskini ‘weupe’ shuleni
10 years ago
Habarileo02 Oct
Watoto watumia uzazi wa mpango shuleni
BAADHI ya watoto wa kike wanaosoma katika shule mbalimbali za sekondari katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wanakiri kutumia uzazi wa mpango wakihofia kukatiza masomo yao kwa kupata ujauzito wakiwa bado shuleni.
9 years ago
Habarileo30 Nov
Watakaoshindwa kupeleka watoto shuleni kukiona
SERIKALI imeonya kuwa itawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi watakaoshindwa kuwapeleka watoto shule na kusisitiza kila mtoto anapaswa kupewa haki ya kupata elimu itakayoanza kutolewa bure kuanzia Januari.