Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watakaoshindwa kupeleka watoto shuleni kukiona

SERIKALI imeonya kuwa itawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi watakaoshindwa kuwapeleka watoto shule na kusisitiza kila mtoto anapaswa kupewa haki ya kupata elimu itakayoanza kutolewa bure kuanzia Januari.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nawapongeza Basata kupeleka sanaa shuleni

AHLANWASAHLAN msomaji wa safu ya Busati popote pale ulipo. Wiki iliyopita nilipata mwaliko wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuhudhuria mkakati wa kuibua, kukuza  na kuendeleza vipaji vya sanaa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto adhaniwa kupeleka bomu shuleni

Rais wa Marekani amemwita Mtoto aliyekuwa aliyeshikiliwa kwa muda na polisi kuhojiwa baada ya kupeleka shuleni saa aliyotengeneza

 

9 years ago

StarTV

Serikali za Vijiji kuwachukulia hatua wazazi, walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo

Serikali za Vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuhakikisha kuwa zinawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo hadi kuhitimu baada ya kuandikishwa kuanza elimu ya msingi pamoja na waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.

Mkuu wa mkoa huo Dokta Parseko Kone ametoa agizo hilo baada ya kubainika kuwa katika Wilaya ya Mkalama pekee, jumla ya wanafunzi 383 wa shule za Msingi na Sekondari wameacha masomo yao kwa kipindi cha kuanzia Januari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaowadhalilisha Watoto kukiona UK

Vyombo vya Usalama nchini Uingereza vinawasaka kwa udi na uvumba Watu wanaowadhalilisha kingono Watoto

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi wahamasishwa kupeleka watoto seminari

WAZAZI na walezi mkoani hapa, wametakiwa kupeleka watoto wao kwenye shule za seminari ili waweze kupata elimu bora na maadili yatakayowasaidia katika maisha yao. Wito huo umetolewa hivi karibuni mkoani...

 

9 years ago

Habarileo

Akirejea bungeni wabakaji watoto kukiona

MGOMBEA ubunge wa Same Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anne Kilango, amesema iwapo atapata ridhaa tena ya kuwa mbunge wa jimbo hilo, atapambana na baadhi ya watu wanaoendekeza vitendo vya ubakaji kwa watoto.

 

9 years ago

StarTV

Wazazi, walezi waagizwa kupeleka watoto shule

 

Serikali imewaagiza wazazi na walezi mkoani Tabora kuwapeleka shule watoto wote wenye umri wa kwenda shule kwa kuwa hakuna pingamizi lolote baada ya Serikali kubeba jukumu la kulipia ada na michango mingine kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari.

Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Kapunze Kata ya Ikomwa Manispaa ya Tabora, Mkuu wa mkoa huo Ludovick Mwananzila amesema Serikali imezitambua kaya masikini na kuzipatia ruzuku inayowezesha kuwahudumia watoto wao na kuongeza mahudhurio...

 

10 years ago

Habarileo

‘Saidieni wake zenu kupeleka watoto chanjo’

WANAUME wametakiwa kuwasaidia wake zao kupeleka watoto katika vituo vilivyochaguliwa kutolea chanjo ya surua na rubella ili kuhakikisha watoto wote wanapatiwa chanjo hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Mkapa ahimiza wafugaji kupeleka watoto shule

RAIS mstaafu Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka jamii ya wafugaji wa Kimasai wilayani Monduli mkoani Arusha kuhakikisha inapeleka watoto wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani