Nawapongeza Basata kupeleka sanaa shuleni
AHLANWASAHLAN msomaji wa safu ya Busati popote pale ulipo. Wiki iliyopita nilipata mwaliko wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuhudhuria mkakati wa kuibua, kukuza na kuendeleza vipaji vya sanaa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Nov
Watakaoshindwa kupeleka watoto shuleni kukiona
SERIKALI imeonya kuwa itawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi watakaoshindwa kuwapeleka watoto shule na kusisitiza kila mtoto anapaswa kupewa haki ya kupata elimu itakayoanza kutolewa bure kuanzia Januari.
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
Mtoto adhaniwa kupeleka bomu shuleni
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Basata kutoa tuzo tano za sanaa
ZAMDA BIWI NA IDDY ABDALLAH, (RCT)
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limepanga kutoa tuzo tano kwa wasanii waliochangia jamii na waliotumia maisha yao yote katika maendeleo ya sanaa kwa ujumla nchini.
Tuzo hizo zitakazotolewa katika maadhimisho ya siku ya msanii yatakayofanyika Desemba 12, katika ukumbi wa Blue Pearl uliopo jijini Dar es Salaam, yatakuwa na kauli mbiu ya ‘Nguvu ya Sanaa’.
Mkurugenzi wa Ukuzaji wa Masoko, Nsao Vivian, alisema lengo la maadhimisho hayo ni kumtambulisha msanii,...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Basata yahimiza wadau wa sanaa kufuata kanuni
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limetoa msisitizo kwa waandaaji wa matamasha na mashindano ya Sanaa na urembo kuzingatia kanuni na taratibu zilizopo katika kuendesha matukio yao. Msisitizo huo umetolewa...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Wadau wa sanaa, kumbi, watakiwa kujisajili Basata
KAIMU Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mungeleza amewataka wasanii na wadau wote wanaojihusisha na shughuli za sanaa kujisajili kwa baraza hilo kupata vibali vya kuendesha...
10 years ago
GPLBASATA KUENDESHA MAFUNZO YA SANAA KWA WATOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BASATA YAMFUNGIA SHILOLE MWAKA MMOJA KUJIUSHISHA NA KAZI ZA SANAA
10 years ago
Bongo Movies31 Jul
BASATA Watoa Maelezo ya Kwanini Limemfungia Shilole Kutojihusisha na Sanaa
Baraza la Sanaa la taifa, BASATA, limemfungia Shilole kutojihusisha na masuala ya muziki ndani na nje ya Tanzania kwa mwaka mmoja.
BASATA limempa barua Shilole jana yenye taarifa za kufungiwa kwake.
Adhabu hiyo imetolewa kufuatia tukio la msanii huyo kupigwa picha za aibu wakati akitumbuiza nchini Ubelgiji miezi kadhaa iliyopita.
Hii ni taarifa rasmi ya BASATA:
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kama msimamizi na mratibu wa sekta ya Sanaa nchini limemfungia msanii wa Muziki wa Kizazi...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TUp3iuV6Edg/default.jpg)
Shilole Akiongelea ni kuhusu Baraza la sanaa Tanzania [BASATA] kumfungia...
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/07/127_shilole3.jpg?resize=573%2C416)
Shilole amelalamikia uwamuzi wa BASATA kumfungia kufnya muziki na shughuli za kisanii kwa muda wa mwaka mmoja, Hii video Exclusive kutoka FahamuTv na Sammisago.com, Audio ya Sauti kutoka BASATA Inasikia pia.