Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi wahamasishwa kupeleka watoto seminari

WAZAZI na walezi mkoani hapa, wametakiwa kupeleka watoto wao kwenye shule za seminari ili waweze kupata elimu bora na maadili yatakayowasaidia katika maisha yao. Wito huo umetolewa hivi karibuni mkoani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wazazi, walezi waagizwa kupeleka watoto shule

 

Serikali imewaagiza wazazi na walezi mkoani Tabora kuwapeleka shule watoto wote wenye umri wa kwenda shule kwa kuwa hakuna pingamizi lolote baada ya Serikali kubeba jukumu la kulipia ada na michango mingine kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari.

Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Kapunze Kata ya Ikomwa Manispaa ya Tabora, Mkuu wa mkoa huo Ludovick Mwananzila amesema Serikali imezitambua kaya masikini na kuzipatia ruzuku inayowezesha kuwahudumia watoto wao na kuongeza mahudhurio...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Pelekeni watoto shule za seminari’

WAZAZI na walezi mkoani Mtwara, wametakiwa kuwapeleka watoto wao kwenye shule za seminari ili wapate elimu bora na maadili mema yatakayowasaidia maishani, kwa vile siku hizi wototo wengi hawana maadili....

 

11 years ago

Dewji Blog

Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao

Mama-Salma-Kikwete

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo

 Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza  na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.

Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia

Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya

Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume  wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...

 

9 years ago

Habarileo

Watakaoshindwa kupeleka watoto shuleni kukiona

SERIKALI imeonya kuwa itawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi watakaoshindwa kuwapeleka watoto shule na kusisitiza kila mtoto anapaswa kupewa haki ya kupata elimu itakayoanza kutolewa bure kuanzia Januari.

 

11 years ago

Habarileo

‘Saidieni wake zenu kupeleka watoto chanjo’

WANAUME wametakiwa kuwasaidia wake zao kupeleka watoto katika vituo vilivyochaguliwa kutolea chanjo ya surua na rubella ili kuhakikisha watoto wote wanapatiwa chanjo hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Mkapa ahimiza wafugaji kupeleka watoto shule

RAIS mstaafu Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka jamii ya wafugaji wa Kimasai wilayani Monduli mkoani Arusha kuhakikisha inapeleka watoto wao.

 

10 years ago

Habarileo

Wahukumiwa kwa kushindwa kupeleka watoto wao shule

WAZAZI 19 wa wanafunzi walioshindwa kuripoti kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015 wamehukumiwa kifungo cha nje cha miezi mitatu kila mmoja kutokana na kosa la kushindwa kuwapeleka watoto wao shuleni.

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi wanachangia watoto kufeli

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita Tanzania imekuwa na rekodi nzuri ya kupanua wigo wa elimu kuanzia idadi ya wanafunzi, walimu na miundombinu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani