Wahukumiwa kwa kushindwa kupeleka watoto wao shule
WAZAZI 19 wa wanafunzi walioshindwa kuripoti kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015 wamehukumiwa kifungo cha nje cha miezi mitatu kila mmoja kutokana na kosa la kushindwa kuwapeleka watoto wao shuleni.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV28 Dec
Wazazi, walezi waagizwa kupeleka watoto shule
Serikali imewaagiza wazazi na walezi mkoani Tabora kuwapeleka shule watoto wote wenye umri wa kwenda shule kwa kuwa hakuna pingamizi lolote baada ya Serikali kubeba jukumu la kulipia ada na michango mingine kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari.
Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Kapunze Kata ya Ikomwa Manispaa ya Tabora, Mkuu wa mkoa huo Ludovick Mwananzila amesema Serikali imezitambua kaya masikini na kuzipatia ruzuku inayowezesha kuwahudumia watoto wao na kuongeza mahudhurio...
11 years ago
Habarileo15 Apr
Mkapa ahimiza wafugaji kupeleka watoto shule
RAIS mstaafu Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka jamii ya wafugaji wa Kimasai wilayani Monduli mkoani Arusha kuhakikisha inapeleka watoto wao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIs8CdWaxsT0*B3XmcItLQ1a7qotMMjXWmIAkiGtRigLXnQ4UyeBtdXXFno4ozbA9*AdIMiV2x6PQlZiEzBj6pIM/wanajeshi.jpg)
WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Wasiopeleka watoto wao shule kusakwa
WANAFUNZI 725 kati ya 1,409 waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwaka huu, wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, hawajaripoti katika shule walizopangiwa ambapo hadi sasa walioripoti 684 tu.
9 years ago
MichuziWATANZANIA WAASWA KUWAPELEKA WATOTO WAO KATIKA SHULE YA SEKONDARI IMPERIAL ILIYOPO CHALIZE MSOLWA MKOANI PWANI
9 years ago
VijimamboWATANZANIA WAASWA KUWAPELEKA WATOTO WAO KATIKA SHULE YA SEKONDARI IMPERIAL ILIYOPO CHALINZE MSOLWA, MKOANI PWANI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fl5hAid20NE/UvTWYyy4-QI/AAAAAAAFLlk/wJGXHs7uARc/s72-c/unnamed+(58).jpg)
Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-fl5hAid20NE/UvTWYyy4-QI/AAAAAAAFLlk/wJGXHs7uARc/s1600/unnamed+(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ky4MtyKP8K4/UvTWY-TAg5I/AAAAAAAFLlo/-UmnvnEqhgU/s1600/unnamed+(59).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb5uCIFkSTC7jSd1yk7GeKj6HvVKpDopuAAjG6JO0oa1diL1l*sM*ZcjMXNIzd2H60D8*JBui1WWeYGlPG1oEq0W/bahati.jpg?width=650)
SIMULIZI TAMU YA BAHATI BUKUKU; AKOSA KUANDIKISHWA SHULE KWA KUSHINDWA KUSHIKA SIKIO
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10