WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM
![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIs8CdWaxsT0*B3XmcItLQ1a7qotMMjXWmIAkiGtRigLXnQ4UyeBtdXXFno4ozbA9*AdIMiV2x6PQlZiEzBj6pIM/wanajeshi.jpg)
Wanajeshi hao wakiwa mbele ya Mahakama ya Kijeshi jijini Abuja nchini Nigeria. Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram. Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti. Mwanasheria wa wanajeshi hao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Boko Haram tishio kwa Wanajeshi Nigeria?
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Jenerali afungwa kwa kushindwa na Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Wanajeshi wa Chad, Boko Haram,wapambana
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Boko Haram:Wake wa Wanajeshi waandamana
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Jeshi lakomboa 300 kutoka kwa Boko Haram Nigeria
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Cameroon kupambana na Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Wanajeshi wakabiliana na B.Haram Nigeria
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wahukumiwa kwa kushindwa kupeleka watoto wao shule
WAZAZI 19 wa wanafunzi walioshindwa kuripoti kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015 wamehukumiwa kifungo cha nje cha miezi mitatu kila mmoja kutokana na kosa la kushindwa kuwapeleka watoto wao shuleni.