Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi lakomboa 300 kutoka kwa Boko Haram Nigeria

Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limefanikiwa kuwakomboa watu 338 kutoka kwa wapiganaji wa Kiislamu wa Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria huwakimbia Boko Haram

Viongozi wa dini ya kiislam nchini Nigeria wameli shambulia jeshi kwa hukimbia mashambulio ya kundi la Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi lakabiliana na Boko Haram Nigeria

Jeshi la Nigeria linasema kuwa linapambana na shambulizi linalokisiwa kuwa la Boko Haram kwenye mji wa Maiduguri

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lateka kambi ya jeshi Nigeria

Maafisa Nigeria wanasema kuwa kundi la Boko Haram limeuteka mji na kambi moja ya kijeshi inayotumiwa na wanajeshi wa kimataifa

 

10 years ago

GPL

JESHI LA NIGERIA LAOKOA MATEKA 160 WA BOKO HARAM

Jeshi la Nigeria wakiwa katika msitu wa Sambisa. ...wakiwa katika magari ya jeshi kuelekea kwenye mapigano. JESHI la Nigeria leo limewaokoa mateka wengine 160 waliokuwa wanashikiliwa na wapiganaji wa Kiislam wa Boko Haram katika msitu wa Sambisa ambapo kwa sasa wanahesabiwa kuhakikisha idadi yao. Hii imetokea ikiwa ni oparesheni endelevu ya kulisambalatisha kundi la Boko Haram nchini humo, baada ya Jeshi hilo kuivamia ngome ya...

 

10 years ago

GPL

JESHI LA NIGERIA LAWAOKOA MATEKA 293 WA BOKO HARAM

Jeshi la Nigeria likishambulia ngome za Boko Haram katika msitu wa Sambisa. Wanajeshi wa Nigeria wakiimaklisha ulinzi dhidi ya Boko Haram nchini humo. Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa wasichana 293 kutoka katika kambi ya Boko Haram iliyoko katika msitu wa Sambisa, Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo. Jeshi hilo limesema kuwa, wasichana hao waliokolewa siyo wale waliotekwa na kundi hilo mwaka jana katika eneo la Chibok....

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi Nigeria lakomboa mji wa Baga

Jeshi la Nigeria lakomboa mji wa Baga kutoka Boko Haram, ambao waliuwa watu wengi walipouteka

 

10 years ago

Vijimambo

Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauawa

Wanajeshi wa Nigeria wamesema kuwa wamewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa kundi la Boko Haram
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram, baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa tena miji kadhaa iliyotekwa na wapiganaji hao kazkazini mashariki mwa Monguno.

Msemaji wa jeshi Chris Olukolade amesema kuwa wapiganaji wachache wa kiislamu pia wamekamatwa.

Bado hakujatolewa taarifa zaidi kuthibitisha habari hizo.

Mataifa kadhaa ya magharibi mwa Afrika kama vile Niger, Chad...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauwa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram,

 

10 years ago

BBC

Army kills '300 Boko Haram fighters'

More than 300 Boko Haram fighters are killed during a military land and air operation in north-east Borno State, the Nigerian army says.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani