Boko Haram tishio kwa Wanajeshi Nigeria?
Wanajeshi 54 wahukumiwa kifo nchini Nigeria kwa kukataa kupambana na Wanamgambo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIs8CdWaxsT0*B3XmcItLQ1a7qotMMjXWmIAkiGtRigLXnQ4UyeBtdXXFno4ozbA9*AdIMiV2x6PQlZiEzBj6pIM/wanajeshi.jpg)
WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM
Wanajeshi hao wakiwa mbele ya Mahakama ya Kijeshi jijini Abuja nchini Nigeria. Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram. Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti. Mwanasheria wa wanajeshi hao...
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Boko Haram:Wake wa Wanajeshi waandamana
Wake wa wanajeshi waandamana katika mji wa Maiduguri kupinga waume wao kutumwa Gwoza kukabili Boko haram.
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Wanajeshi wa Chad, Boko Haram,wapambana
Wanajeshi wa Chad wapambana na Boko Haram Kaskazini Mashariki mwa Nigeria
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Jeshi lakomboa 300 kutoka kwa Boko Haram Nigeria
Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limefanikiwa kuwakomboa watu 338 kutoka kwa wapiganaji wa Kiislamu wa Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Wanajeshi wakabiliana na B.Haram Nigeria
Wanajeshi nchini Nigeria wamekuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haramu kwenye mji ulio kaskazini mashariki
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wanajeshi 11 wauawa na Boko:H Nigeria
Taarifa kutoka mjini Buni Yadi katika jimbo la Yobe, Nigeria, zinasema kuwa watu 24 wakiwemo wanajeshi 11 wameuawa na Boko Haram
11 years ago
BBCSwahili15 May
Nigeria yapuuza Boko Haram
Rais wa Nigeria amepuuza matakwa ya kundi la kiislam la Boko Haram lililotaka kubadilishana wafungwa kwa mateka
10 years ago
BBC12 Aug
Nigeria's Boko Haram 'has new leader'
The Nigerian-based Islamist militant group Boko Haram has a new leader who is open to dialogue, says Chad's President Idriss Deby.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78580000/jpg/_78580117_78579230.jpg)
Nigeria 'in talks with Boko Haram'
Nigeria says it is still holding talking with Boko Haram, two weeks after the government said it had agreed a truce with the Islamist militant group.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania