Wanajeshi 11 wauawa na Boko:H Nigeria
Taarifa kutoka mjini Buni Yadi katika jimbo la Yobe, Nigeria, zinasema kuwa watu 24 wakiwemo wanajeshi 11 wameuawa na Boko Haram
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Boko Haram tishio kwa Wanajeshi Nigeria?
Wanajeshi 54 wahukumiwa kifo nchini Nigeria kwa kukataa kupambana na Wanamgambo
10 years ago
BBCSwahili08 May
Wanafunzi wauawa na boko Haram Nigeria
Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa wanafunzi watatu wa chuo kimoja cha mafunzo ya biashara, wameuawa na wapiganaji wa Boko Haram
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Watu 18 wauawa na Boko Haram-Nigeria
Wapiganaji wa Kiislamu nchini NIgeria wamekishambulia kijiji Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo na kuwaua kiasi ya watu 18.
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mamia wauawa na Boko Haram Nigeria
Mamia ya watu waliuawa katika shambulizi lililofanywa na kundi la wapiganaji wa Boko Haram katika mpaka wa nchi hiyo na Cameroon siku ya Jumanne.
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Watu 39 wauawa na Boko Haram-Nigeria
Utawala wa jimbo la Borno lililoko Kaskazini mwa Nigeria umesema watu 39 wameuawa katika shambulizi lililofanywa mjini Konduga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIs8CdWaxsT0*B3XmcItLQ1a7qotMMjXWmIAkiGtRigLXnQ4UyeBtdXXFno4ozbA9*AdIMiV2x6PQlZiEzBj6pIM/wanajeshi.jpg)
WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM
Wanajeshi hao wakiwa mbele ya Mahakama ya Kijeshi jijini Abuja nchini Nigeria. Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram. Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti. Mwanasheria wa wanajeshi hao...
10 years ago
BBCSwahili02 Aug
Wanajeshi 2 wa Uturuki wauawa
Wanajeshi wawili wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu katika kituo kimoja cha kijeshi mashariki mwa nchi.
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia
Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Wanajeshi 8 wa Uturuki wauawa
Wanajeshi wanane wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu la kutegwa kando ya barabara kusini mashariki mwa nchi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania