Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi wauawa na boko Haram Nigeria

Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa wanafunzi watatu wa chuo kimoja cha mafunzo ya biashara, wameuawa na wapiganaji wa Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mamia wauawa na Boko Haram Nigeria

Mamia ya watu waliuawa katika shambulizi lililofanywa na kundi la wapiganaji wa Boko Haram katika mpaka wa nchi hiyo na Cameroon siku ya Jumanne.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wauawa na Boko Haram-Nigeria

Wapiganaji wa Kiislamu nchini NIgeria wamekishambulia kijiji Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo na kuwaua kiasi ya watu 18.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 39 wauawa na Boko Haram-Nigeria

Utawala wa jimbo la Borno lililoko Kaskazini mwa Nigeria umesema watu 39 wameuawa katika shambulizi lililofanywa mjini Konduga

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram 70 wauawa .

Jeshi la Nigeria limetoa ripopoti kua mpaka sasa limekwisha waua wapiganaji 70 kutoka katika kikundi cha kiislam cha BOKO HARAM.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 38 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limeauawa wapiganaji 38 wa Boko Haram wakati wa mapambanao dhidi ya kundio hilo katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wavuvi 50 wauawa na Boko Haram

Wanamgambo wa Boko Haram wamefanya shambulizi lengine kubwa sana na kuwaua takriban wafanya biashara 50 wa kuuza Samaki katika ufuo wa ziwa Chad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 53 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaua wanachama 53 wa kundi la Boko haram kufuatia shambulizi lao katika eneo la Damboa .

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 10 wa Boko Haram wauawa-Chad

Wanachama kumi wa kundi la Boko Haram, wameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Chad N'Djamena

 

10 years ago

Vijimambo

Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauawa

Wanajeshi wa Nigeria wamesema kuwa wamewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa kundi la Boko Haram
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram, baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa tena miji kadhaa iliyotekwa na wapiganaji hao kazkazini mashariki mwa Monguno.

Msemaji wa jeshi Chris Olukolade amesema kuwa wapiganaji wachache wa kiislamu pia wamekamatwa.

Bado hakujatolewa taarifa zaidi kuthibitisha habari hizo.

Mataifa kadhaa ya magharibi mwa Afrika kama vile Niger, Chad...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani