Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.
Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV18 Dec
Wazazi watakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu
Wazazi wa watoto wenye ulemavu katika mkoa wa Tanga wameendelea kulaani tabia ya wazazi kuwaficha watoto wao majumbani badala ya kuwapeleka shuleni kupata elimu na maarifa yatakayowasaidia kwenye maisha yao.
Wazazi hao walikuwa wakizungumza katika hafla iliyowakutanisha walemavu kwenye kituo cha watoto wenye ulemavu cha YDCP kama sehemu ya kujumuika nao kusherehekea sikukuu ya Krismasi.
Wazazi hao wamesema ipo sababu ya msingi ya kuondokana na tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fJzbY6rH4io/U3Uwe5cE7eI/AAAAAAAFiAE/EBOCXbhrIFU/s72-c/unnamed6.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA SHULE YA MSINGI YA MSIMBAZI MSETO KWENYE KITUO CHA WATOTO WENYE USONJI (AUTISM).
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJzbY6rH4io/U3Uwe5cE7eI/AAAAAAAFiAE/EBOCXbhrIFU/s1600/unnamed6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IeutPcVF9Dw/U3UwgDDWTpI/AAAAAAAFiAY/CQW7ZiAcPgg/s1600/unnamed7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-az0ZQVjApJE/U3UwgEwBnLI/AAAAAAAFiAQ/fdix21M3qxM/s1600/unnamed8.jpg)
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Watoto wenye wazazi 3 kuzaliwa karibuni
9 years ago
MichuziWAZAZI WATAKIWA KUTOWAACHIA WATOTO WAO MITANDAO
Wanafunzi wa Shule ya New Ligh ya chekechea ya Mji mdogo wa Mireani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwa kwenye mahafaliya kujiunga na darasa la kwanza kwenye shule hiyo
Na Woinde Shizza.WAZAZI na walezi nchini wametakiwa kutowaachia huru watoto wao kujihusisha na mitandao ya kijamii, kwani baadhi ya mitandao hiyo inachangia kwa kiasi kikubwa kubadili maadili yao na kusababisha wawe na tabia mbaya.
Meneja wa shule ya msingi New Light ya mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ITv1PMd3B2o/Ux3zQ6jLXqI/AAAAAAAFSxc/pnrdlysCP_g/s72-c/unnamed+(47).jpg)
WAZAZI MKOANI RUVUMA WATAKIWA KUTOWAFICHA WATOTO VIZIWI.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UyxYit5p5wY/Vcm82bKTOSI/AAAAAAAHwBc/Atp5EGaXBOM/s72-c/1...jpg)
WASANII WATAKIWA KUWAKUMBUKA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM
Wasanii nchini wametakiwa kurejesha kwa jamii sehemu ya faida wanayoipata kupitia kazi zao za Sanaa kwa kuwakumbuka watoto wenye mahitaji maalum ili kujijengea mtandao wa kudumu wa masoko, uhalali na taswira nzuri kwa jamii.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na mtengeneza filamu wa Tanzania mwenye makazi yake nchini Marekani Bi. Honeymoon Mohamed wakati akiwasilisha mada kuhusu Filamu za Kitanzania na Masoko kwenye programu ya Jukwaa la Sanaa inayoandaliwa na Baraza la Sanaa...
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Wasanii Watakiwa Kukumbuka Watoto Wenye Mahitaji Maalum
Afisa Habari wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Aristides Kwizela (Kushoto) akifuatilia burudani zilizokuwa zikitolewa na watoto wanaondaliwa na Baraza hilo kupitia programu ya ‘Sanaa kwa Watoto’ wakati wakitumbuiza kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA mapema wiki hii. Watoto hao wanatoka shule ya Msingi ya Msimbazi iliyoko Ilala jijini Dar es Salaam. Katikati ni Msanii wa filamu Honeymoon Mohamed na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Stadi za wasanii Bi. Vick Temu.
Katibu Mtendaji wa...