Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akirejea bungeni wabakaji watoto kukiona

MGOMBEA ubunge wa Same Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anne Kilango, amesema iwapo atapata ridhaa tena ya kuwa mbunge wa jimbo hilo, atapambana na baadhi ya watu wanaoendekeza vitendo vya ubakaji kwa watoto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanaowadhalilisha Watoto kukiona UK

Vyombo vya Usalama nchini Uingereza vinawasaka kwa udi na uvumba Watu wanaowadhalilisha kingono Watoto

 

9 years ago

Habarileo

Watakaoshindwa kupeleka watoto shuleni kukiona

SERIKALI imeonya kuwa itawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi watakaoshindwa kuwapeleka watoto shule na kusisitiza kila mtoto anapaswa kupewa haki ya kupata elimu itakayoanza kutolewa bure kuanzia Januari.

 

11 years ago

Dewji Blog

Timu ya Watoto wa Mitaani (TSC) watinga Bungeni mjini Dodoma

injinia

 

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Habib  Mnyaa akitoa ufafanuzi  leo kuhusu  maoni  ya  taarifa ya Kamati Namba Moja ya Bunge la Maalum la Katiba.  

kilango

Mwenyekiti  wa Kamati Namba  Kumi na Moja  ya Bunge Maalum  la Katiba, Anna Kilango Malecela akiwasilisha leo  taarifa ya Kamati yake kuhusu Sura ya kwanza na sura ya sita ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

bingwa

Timu ya Watoto wa Mitaani (TSC) ikiwa katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma mara baada ya  timu  hiyo na...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Habarileo

‘Toeni ushahidi wa wabakaji mahakamani’

MRATIBU wa mtandao wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji kijinsia Jeshi la Polisi Makao Makuu, Hasina Ramadhan Toufik ameitaka jamii kutoa ushahidi mahakamani kwa watu wanaotuhumiwa kubaka ili kukomesha matukio hayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wabakaji wapewe adhabu kali

Suala la kuwabaka wanafunzi haliko tu Kenya bali pia Tanzania na nchi nyingi za Afrika. Tunayo mifano  mingi ya watu wazima wenye uwezo wa kifedha na pia wenye madaraka makubwa ya kiofisi wanaowarubuni wanafunzi  kwa kuwapa pesa kidogo au vitu vidogo vidogo ili  wafanye nao ngono. Hivi karibuni wanafunzi wa sekondari nchini Siera Leone, nchi iliyokumbwa na ugonjwa wa ebola, walikubwa na dhahama hii wakati wakiwa nyumbani baada ya shule kufungwa kwa kipindi kirefu. Wasichana hawa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha jela kwa wabakaji Misri

Wananume saba wafungwa maisha jela na wengine 2 kupata kifungo cha miaka 20 au zaidi kila mmoja kwa kuwadhulumu kingono wanawake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani