‘Toeni ushahidi wa wabakaji mahakamani’
MRATIBU wa mtandao wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji kijinsia Jeshi la Polisi Makao Makuu, Hasina Ramadhan Toufik ameitaka jamii kutoa ushahidi mahakamani kwa watu wanaotuhumiwa kubaka ili kukomesha matukio hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Sep
JK aitwa mahakamani kutoa ushahidi
11 years ago
Habarileo11 Jun
TFDA yatoa ushahidi wa ARVs ‘feki’ mahakamani
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imedai ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL) kinachomilikiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida ni bandia.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gbRlc80PpsA/VV0GuZ23UVI/AAAAAAAHYus/LRFVs7g-wdQ/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gbRlc80PpsA/VV0GuZ23UVI/AAAAAAAHYus/LRFVs7g-wdQ/s320/1.1774256.jpg)
1.USHAHIDI WA KUAMBIWA NININI.
Ushahidi wa kuambiwa ni ushahidi unaotolewa na mtu ambaye hakuona tukio likitendeka, hakusikia tukio likitendeka, hakuhisi wala kuonja, wala kunusa jambo lililo mbele ya mahakama kama kosa isipokuwa aliambiwa na mtu mwingine aliyeona, kusikia, kuhisi, kunusa au kuonja. Hapa kuna watu wawili, kwanza aliyeona au kusikia , na pili yule aliyeambiwa na huyu aliyeona au kusikia .
Kwahiyo ...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Panya Road’ 119 waachiwa kwa kukosekana ushahidi 959 wafikishwa mahakamani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vTqkQRJjs4A/VV1UpbljoyI/AAAAAAAHYwU/EsfHkWVbgMw/s72-c/download.jpg)
MAKALA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vTqkQRJjs4A/VV1UpbljoyI/AAAAAAAHYwU/EsfHkWVbgMw/s1600/download.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDiu2Kz32rE/VTCjhdWZVkI/AAAAAAAAbAk/QD6cUOOMq6c/s72-c/1.jpg)
SAKATA LA EMMANUEL MBASHA KUBAKA: Daktari Atoa Ushahidi Mahakamani, Asema Vipimo Havikuonyesha Dalili yoyote ya Msichana Huyo Kubakwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDiu2Kz32rE/VTCjhdWZVkI/AAAAAAAAbAk/QD6cUOOMq6c/s640/1.jpg)
Shahidi wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.
Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo.Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba vipimo alivyomfanyia msichana huyo anayedaiwa kubakwa na Mbasha, havikuonyesha kitu chochote.
Dk. Migole alidai kuwa...
11 years ago
Habarileo11 Feb
‘Toeni ufafanuzi wa takwimu za sensa’
KAMISHINA wa Sensa ya Watu na Makazi, Amina Mrisho ametaka maofisa takwimu nchini, kutumia fursa ya vikao vya halmashauri na mikoa kutoa ufafanuzi wa takwimu zilizopo.
10 years ago
Habarileo28 Dec
‘Wananchi toeni maoni ya miswada
WANANCHI wametakiwa kutumia fursa iliyopo iliyotolewa na Baraza la Wawakilishi ya kutoa maoni ya miswada inayotarajiwa kuwasilishwa mbele ya baraza ili ipate baraka za wananchi na ubora wake.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Wabakaji wapewe adhabu kali