MAKALA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vTqkQRJjs4A/VV1UpbljoyI/AAAAAAAHYwU/EsfHkWVbgMw/s72-c/download.jpg)
1.USHAHIDI WA KUAMBIWA NI NINI?
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gbRlc80PpsA/VV0GuZ23UVI/AAAAAAAHYus/LRFVs7g-wdQ/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gbRlc80PpsA/VV0GuZ23UVI/AAAAAAAHYus/LRFVs7g-wdQ/s320/1.1774256.jpg)
1.USHAHIDI WA KUAMBIWA NININI.
Ushahidi wa kuambiwa ni ushahidi unaotolewa na mtu ambaye hakuona tukio likitendeka, hakusikia tukio likitendeka, hakuhisi wala kuonja, wala kunusa jambo lililo mbele ya mahakama kama kosa isipokuwa aliambiwa na mtu mwingine aliyeona, kusikia, kuhisi, kunusa au kuonja. Hapa kuna watu wawili, kwanza aliyeona au kusikia , na pili yule aliyeambiwa na huyu aliyeona au kusikia .
Kwahiyo ...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Zijue sababu za kuhamisha shauri mahakamani — 2
Hati ya wito wa kuitwa shaurini Hati inayomwarifu mdaiwa kwamba mdai amefungua shauri dhidi yake na hivyo, anapaswa kuhudhuria mahakamani na kujitetea dhidi ya madai hayo katika siku iliyotajwa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5RTl4jGbNYc/VP1JcXHFN8I/AAAAAAAHIzw/AHKHVFy0FyQ/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5RTl4jGbNYc/VP1JcXHFN8I/AAAAAAAHIzw/AHKHVFy0FyQ/s1600/law_5.jpg)
Kuongezeka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kumetengeneza wingi wa ajira maeneo mbambali ya nchi. Mbali na kuongezeka kwa ajira hizi kumekuwepo na tatizo kubwa la waajiriwa kutojua haki zao mbalimbali wawapo maeneo ya kazi.
Niseme jambo moja tu kuwa hakuna suala la msingi kama muajiriwa kujua haki zake. Hii ni kwasababu kupitia kujua haki zake ndipo anapoweza kupata ujira stahiki, posho stahiki, masurufu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fzbhc-tNi2w/VP_wvfNhoqI/AAAAAAAHJgw/3WgsT9Vlorw/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI - 2
![](http://1.bp.blogspot.com/-fzbhc-tNi2w/VP_wvfNhoqI/AAAAAAAHJgw/3WgsT9Vlorw/s1600/law_5.jpg)
Jumatatu ya wiki hii nilianza na makala iitwayo je umeachishwa kazi au we ni mfanyakazi, zijue haki zako. Nilizungumzia masuala kadhaa yahusuyo haki za mfanyakazi. Naligusia kuhusu aina za mkataba wa ajira, muda wa mkataba wa ajira, sehemu ya kufanyia kazi, kipindi cha mpito katika kazi (probation period) na mengine mengi kuhusu ajira. Nilisema na leo tena nasisitiza kuwa ili upate ujira unaostahili ikiwa ni pamoja na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8w_p-yEQHSQ/VjfBpknjZiI/AAAAAAAID-8/N6LTr44kWk8/s72-c/DSC07091.jpg)
Makala ya Sheria: KUMLAZIMISHA SHAHIDI KUFIKA MAHAKAMANI...
![](http://1.bp.blogspot.com/-8w_p-yEQHSQ/VjfBpknjZiI/AAAAAAAID-8/N6LTr44kWk8/s640/DSC07091.jpg)
Na Bashir YakubKesi/shauri lolote iwe jinai au madai kuishinda kwake mara nyingi hutegemea mambo makuu mawili. Kwanza mashahidi ,pili ushahidi. Mashahidi siku zote ni watu. Hakuna kitu kinaweza kuitwa mashahidi halafu kisiwe binadamu. Hii ni tofauti na ushahidi. Ushahidi si lazima wawe binadamu. Vitu hasa vizibiti(exhibit) ndivyo huitwa ushahidi. Nyaraka, mali, vifaa, na kila kitu ambacho mtu anaweza kukitumia mahakamani kuthibitisha kile ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDCD3K00oF-QriowL1jD2ejrYhhvdjTVNq6AsJ9VbBjlQ7LGHimcIcJddTRRKIxMRQIsjvYQzCceTISo33QJkB8L/GUFUUD.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2
NI matumaini yangu wapenzi wasomaji wa safu hii mko poa. Leo tunamalizia vipengele vilivyosalia wiki iliyopita, ungana nami. 6.Karaha
Hili pia ni tatizo la wanawake ambalo hawapendi kulikubali. Karaha nyumbani dhidi ya mwanaume huweza kumfanya ajisikie kuhitaji faraja nje ya nyumba. Na wanawake wengi wakimuona mwanaume yupo peke yake baa, hujua kuwa atakuwa amekimbia maudhi ya mkewe na anahitaji faraja. 7.Huruma ya wanawake
...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLIFsOdU5KFMlZqYt9dnf-37D0p4A7T1vAEvFdjrhktDR1NWvDlzjjxAA8jgvpVGDNvUwmA4Ef88O9L2tpf5E9G/mahaba.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!
Mambo vipi msomaji wa safu hii. Bila shaka unaendelea vizuri na harakati zako za kimapenzi na kwa mara nyingine upo tena katika safu hii ili kufuatilia nini kimejiri. Moja ya tatizo kubwa kabisa linalowasumbua wapenzi wengi ni tabia ya kutoaminiana baina yao. Kila mmoja hudhani mwenzake anakwenda kinyume na hili, mara nyingi lawama huenda zaidi kwa wanaume kwani ni wepesi kuchepuka.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Zijue sababu za kuhamisha shauri mahakama
KUNA uwezekano wa kuhamisha shauri ulililolifungua katika mahakama moja kwenda mahakama nyingine yenye mamlaka ya juu zaidi au yenye mamlaka sawa na ile mahakama ambako ulifungulia shauri hilo. Kimsingi mashauri...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dqhJ3gGbB18/Vai7LrE9BSI/AAAAAAAHqM4/9NsWiYMDMhs/s72-c/6a00e54ee10a2288340192ac6f4d4f970d.jpg)
ZIJUE SABABU KUMI KWA NINI NYWELE ZAKO ZINANYONYOKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dqhJ3gGbB18/Vai7LrE9BSI/AAAAAAAHqM4/9NsWiYMDMhs/s640/6a00e54ee10a2288340192ac6f4d4f970d.jpg)
Kama umegundua nywele zako zinanyonyoka, usi-panic. Sababu inaweza kuwa rahisi. Inaweza kuwa ni ukosefu wa vitamin au sababu za kinasaba ( urithi ). Zifutazo ni sababu kwa nini nywele zako zinanyonyoka:1. StressKila aina ya physical and emotional pain inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. . Ajali ya gari au kufanyiwa upasuaji vinaweza kukusababishia stress ambayo itakuletea kunyonyoka kwa nywele zako. Emotional...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania