MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI - 2
![](http://1.bp.blogspot.com/-fzbhc-tNi2w/VP_wvfNhoqI/AAAAAAAHJgw/3WgsT9Vlorw/s72-c/law_5.jpg)
Na Bashir Yakub.
Jumatatu ya wiki hii nilianza na makala iitwayo je umeachishwa kazi au we ni mfanyakazi, zijue haki zako. Nilizungumzia masuala kadhaa yahusuyo haki za mfanyakazi. Naligusia kuhusu aina za mkataba wa ajira, muda wa mkataba wa ajira, sehemu ya kufanyia kazi, kipindi cha mpito katika kazi (probation period) na mengine mengi kuhusu ajira. Nilisema na leo tena nasisitiza kuwa ili upate ujira unaostahili ikiwa ni pamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5RTl4jGbNYc/VP1JcXHFN8I/AAAAAAAHIzw/AHKHVFy0FyQ/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5RTl4jGbNYc/VP1JcXHFN8I/AAAAAAAHIzw/AHKHVFy0FyQ/s1600/law_5.jpg)
Kuongezeka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kumetengeneza wingi wa ajira maeneo mbambali ya nchi. Mbali na kuongezeka kwa ajira hizi kumekuwepo na tatizo kubwa la waajiriwa kutojua haki zao mbalimbali wawapo maeneo ya kazi.
Niseme jambo moja tu kuwa hakuna suala la msingi kama muajiriwa kujua haki zake. Hii ni kwasababu kupitia kujua haki zake ndipo anapoweza kupata ujira stahiki, posho stahiki, masurufu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gbRlc80PpsA/VV0GuZ23UVI/AAAAAAAHYus/LRFVs7g-wdQ/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gbRlc80PpsA/VV0GuZ23UVI/AAAAAAAHYus/LRFVs7g-wdQ/s320/1.1774256.jpg)
1.USHAHIDI WA KUAMBIWA NININI.
Ushahidi wa kuambiwa ni ushahidi unaotolewa na mtu ambaye hakuona tukio likitendeka, hakusikia tukio likitendeka, hakuhisi wala kuonja, wala kunusa jambo lililo mbele ya mahakama kama kosa isipokuwa aliambiwa na mtu mwingine aliyeona, kusikia, kuhisi, kunusa au kuonja. Hapa kuna watu wawili, kwanza aliyeona au kusikia , na pili yule aliyeambiwa na huyu aliyeona au kusikia .
Kwahiyo ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vTqkQRJjs4A/VV1UpbljoyI/AAAAAAAHYwU/EsfHkWVbgMw/s72-c/download.jpg)
MAKALA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vTqkQRJjs4A/VV1UpbljoyI/AAAAAAAHYwU/EsfHkWVbgMw/s1600/download.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s320/1.1774256.jpg)
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r8NcjtiF2dw/VQ88OFd7QjI/AAAAAAAHMTc/afvl00bjtXI/s72-c/Rental-Property-Law.jpg)
MAKALA SHERIA:JE UNASUMBULIWA NA MGOGORO WA ARDHI? JUA SEHEMU YA KUPATA HAKI...
![](http://1.bp.blogspot.com/-r8NcjtiF2dw/VQ88OFd7QjI/AAAAAAAHMTc/afvl00bjtXI/s1600/Rental-Property-Law.jpg)
Kati ya hao wapo ambao migogoro imeanzia mikononi mwao na wengine wamerithi migogoro hiyo kutoka kwa wazazi au ndugu zao.
Yote kwa yote iwe mgogoro umeanzia mikononi mwako au umeurithi bado mgogoro ni mgogoro na lazima utafute jambo la kufanya ili kuumaliza. Nitakachoeleza hapa ni namna gani waweza kumaliza mgogoro wa ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dqhJ3gGbB18/Vai7LrE9BSI/AAAAAAAHqM4/9NsWiYMDMhs/s72-c/6a00e54ee10a2288340192ac6f4d4f970d.jpg)
ZIJUE SABABU KUMI KWA NINI NYWELE ZAKO ZINANYONYOKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dqhJ3gGbB18/Vai7LrE9BSI/AAAAAAAHqM4/9NsWiYMDMhs/s640/6a00e54ee10a2288340192ac6f4d4f970d.jpg)
Kama umegundua nywele zako zinanyonyoka, usi-panic. Sababu inaweza kuwa rahisi. Inaweza kuwa ni ukosefu wa vitamin au sababu za kinasaba ( urithi ). Zifutazo ni sababu kwa nini nywele zako zinanyonyoka:1. StressKila aina ya physical and emotional pain inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. . Ajali ya gari au kufanyiwa upasuaji vinaweza kukusababishia stress ambayo itakuletea kunyonyoka kwa nywele zako. Emotional...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-atJyBr8IHx4/XvTELiMYoXI/AAAAAAALvcY/95T3vdGWjdQ76_sP9N6t0ZEkGBlZ4iBEwCLcBGAsYHQ/s72-c/008693ac-0e5e-4b8b-b8ce-712aa648e4a8.jpg)
MPANJU ATAKA VIPAUMBELE VYA MSINGI VIIBULIWE KATIKA MPANGO KAZI WA PILI WA HAKI ZA BINADAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-atJyBr8IHx4/XvTELiMYoXI/AAAAAAALvcY/95T3vdGWjdQ76_sP9N6t0ZEkGBlZ4iBEwCLcBGAsYHQ/s640/008693ac-0e5e-4b8b-b8ce-712aa648e4a8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8beb47a2-c309-47cb-bdb2-048f8a86bb5f.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Sheria, haki vifanye kazi lala salama Ligi Kuu Bara
HARAKATI za timu 14 katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimefikia patamu kutokana na kila timu kusaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s72-c/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KWA MUJIBU WA SHERIA NDOA HIZI HAZIRUHUSIWI
![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s400/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
Hapa kwetu Tanzania tunazo ndoa za aina kuu mbili. Kwanza tunazo ndoa za kiraia au kiserikali, na pili tunazo ndoa za kimila.
Ndoa za kiraia au za kiserikali kama zinavyojulikana kwa wengi ni zile ambazo hufungwa chini ya usimamizi wa mamlaka za serikali kama ofisi ya mkuu wa wilaya n.k. Na kwa upande wa ndoa za kimila hizi ni zile ambazo hufungwa kutokana na taratibu za watu wa kabila au koo fulani kwa mujibu...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10