SAKATA LA EMMANUEL MBASHA KUBAKA: Daktari Atoa Ushahidi Mahakamani, Asema Vipimo Havikuonyesha Dalili yoyote ya Msichana Huyo Kubakwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDiu2Kz32rE/VTCjhdWZVkI/AAAAAAAAbAk/QD6cUOOMq6c/s72-c/1.jpg)
Shahidi wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.
Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo.Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba vipimo alivyomfanyia msichana huyo anayedaiwa kubakwa na Mbasha, havikuonyesha kitu chochote.
Dk. Migole alidai kuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo21 Sep
Picha nje ya Mahakama baada ya Mwimbaji wa Gospel Emmanuel Mbasha kushinda kesi ya kubaka
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.58.52-AM.png?zoom=2&resize=660%2C400)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.58.58-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
Emmanuel Mbasha akiwa amepiga magoti huku akitokwa machozi nje ya Mahakama ya Ilala, Dar es Salaam baada ya Hukumu kutolewa. Hizi hapa Picha nje ya Mahakama ya Ilala baada ya Hukumu kutolewa Mahakamani na Emmanuel Mbasha kutoka nje ya Mahakama.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.05-AM.png?zoom=2&resize=620%2C414)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.12-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.36-AM.png?zoom=2&resize=620%2C391)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.21-AM.png?zoom=2&resize=362%2C493)
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.28-AM.png?zoom=2&resize=364%2C480)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.42-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.49-AM.png?zoom=2&resize=620%2C408)
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.57-AM.png?zoom=2&resize=366%2C549)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-12.00.02-PM.png?zoom=2&resize=359%2C540)
millardayo.com
10 years ago
Habarileo06 Sep
Anayedai kubakwa na Mbasha atoa ushuhuda
SHAHIDI wa kwanza katika kesi ya ubakaji inayomkabili mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) ameieleza mahakama jinsi alivyobakwa akiwa kwenye gari na nyumbani kwao. Shahidi huyo mwenye umri wa miaka 17 (jina limehifadhiwa) ambaye pia ni shemeji wa Mbasha, alidai mbele ya Hakimu Wilberforce Luhwago kuwa Mei 23 mwaka huu, Mbasha alimbaka kwa mara ya kwanza wakati mkewe Flora akiwa hayupo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RwgvJ_oE1-4/VPldz3-K1sI/AAAAAAAApiA/tdqT9Gug2dQ/s72-c/kumbaka.jpg)
Emmanuel Mbasha Amwaga Machozi Mahakani..Sakata la Kumbaka Shemeji Yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RwgvJ_oE1-4/VPldz3-K1sI/AAAAAAAApiA/tdqT9Gug2dQ/s640/kumbaka.jpg)
10 years ago
GPLFLORA ATOA USHAHIDI KESI YA MBASHA KWA SIRI
10 years ago
Bongo522 Oct
T.I: Tanzania ilikuwa mzuka, sikuona dalili yoyote ya kuwepo Ebola
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuvdWU-JhHTJYVQKPzPZlUdmoAPW0bLI*ddaNJqS69lpSN1wIxkCmdxg1VcPICsLLtFlVzhejVX7L3pQpanw8nYY/Dude.jpg?width=650)
MIKE, DUDE WAFUNGUKIA TUHUMA ZA MBASHA KUBAKA!
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zZLnFh6Nd9o/XrZRNF3neUI/AAAAAAAATns/96HJduderS0ho5IEgjy1EDzWcGF1z0rLACLcBGAsYHQ/s72-c/vvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvv.jpg)
MBUNGE ANAYEONYESHA DALILI ZA CORONA ATAFANYIWA VIPIMO ILA HATUTANGAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zZLnFh6Nd9o/XrZRNF3neUI/AAAAAAAATns/96HJduderS0ho5IEgjy1EDzWcGF1z0rLACLcBGAsYHQ/s400/vvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvv.jpg)
Spika Ndugai ameyabainisha hayo, wakati akifanya mazungumzo maalum na kuhojiwa kwamba je wanao mpango wa kuwafanyia vipimo Wabunge wote ili atakayebainika kupata maambukizi awekwe Karantini?, ambapo Spika alijibu.
"Kila Mbunge ambaye anajihisi vibaya anafanyiwa vipimo, tunachofanya hatutangazi tu"...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6MgXzqQGy3nsIwTv3mgaEwitcZKQMNT*YcTXp7n2rA2Er*TErvyJwNvhaj8NePiBLgoNk88E3EfZClW75*qWfm82xwTE5-fP/13.gif)
EMMANUEL MBASHA AACHIWA HURU
11 years ago
IPPmedia18 Jun
Gospel singer, Emmanuel Mbasha
IPPmedia
IPPmedia
Businessman cum gospel singer Emmanuel Mbasha, a husband of Flora yesterday appeared at the Ilala District Court in Dar es Salaam charged with two alleged offences of rape. The prosecution led by Senior State attorney Nasoro Katuga claimed before ...