Anayedai kubakwa na Mbasha atoa ushuhuda
SHAHIDI wa kwanza katika kesi ya ubakaji inayomkabili mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) ameieleza mahakama jinsi alivyobakwa akiwa kwenye gari na nyumbani kwao. Shahidi huyo mwenye umri wa miaka 17 (jina limehifadhiwa) ambaye pia ni shemeji wa Mbasha, alidai mbele ya Hakimu Wilberforce Luhwago kuwa Mei 23 mwaka huu, Mbasha alimbaka kwa mara ya kwanza wakati mkewe Flora akiwa hayupo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDiu2Kz32rE/VTCjhdWZVkI/AAAAAAAAbAk/QD6cUOOMq6c/s72-c/1.jpg)
SAKATA LA EMMANUEL MBASHA KUBAKA: Daktari Atoa Ushahidi Mahakamani, Asema Vipimo Havikuonyesha Dalili yoyote ya Msichana Huyo Kubakwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDiu2Kz32rE/VTCjhdWZVkI/AAAAAAAAbAk/QD6cUOOMq6c/s640/1.jpg)
Shahidi wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.
Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo.Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba vipimo alivyomfanyia msichana huyo anayedaiwa kubakwa na Mbasha, havikuonyesha kitu chochote.
Dk. Migole alidai kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5Pn2K7okLkrsEkI*TirqkyRI2GpT6O3heL*kDdFieIeocLATKr8GsyqZlsxKy0rtl9FXAp6QC407YmhMDIs02t5/Lungi.jpg?width=650)
LUNGI ATOA USHUHUDA MZITO WA AIBU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6zh0cEJDY2w/XpTGhiOEApI/AAAAAAALm34/Fem5HNoSk2ANnUHHSxGThcwqxECWkJFYgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MTANZANIA ATOA USHUHUDA HALI ILIVYO NCHINI ITALIA BAADA YA MLIPUKO WA VIRUSI VYA COVID-19 ‘WAPO LOCKDOWN’
Hali ya Maambukizi ya Virusi vya COVID-19 imetajwa kuwa si shwari nchini Italia kwa Wananchi wengi nchini humo kujifungia ndani (Lockdown) kutokana na kasi ya maambukizi ya virusi hivyo vilivyosambaa sehemu nyingi duniani kwa sasa.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Parma (Parma Unniversity) kilichopo nchini Italia, Mtanzania Frank Charles amezungumza na Michuzi Blog, Michuzi TV ameeleza hali si shwari nchini humo kutokana na Wananchi wengi kujifungia ndani muda wote...
10 years ago
GPLFLORA ATOA USHAHIDI KESI YA MBASHA KWA SIRI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI3uOtXrrNbf5IpZqXZIu-V6PZSjijdbBhggcJP-2EP1bbbVdpd*TVyG2uu1q*vqTaLpW-D-KROImfZgpJoZBJQ8/flora_mbasha5.jpg)
FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!
10 years ago
Habarileo27 Aug
‘Hakuna mjumbe Bunge Maalumu anayedai posho’
OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Waridi wa BBC: Mwanamke anayedai kufanya ngono na pepo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1hLf7Y9EzTSweEm5ISiIreECaOwDg8H6rwhBfBh11CN7Eha-0Y7htc9jIUfQ3tLLOIVvaTE7mDzwn8C4-jtGQq/FRONTIJUMAA.gif?width=650)
ANAYEDAI WIFI WA ZARI AZUIWA GETINI KWA DIAMOND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0Fqwa0H8Xov7VW3eywGS5c1D*RSgqfiQxBYK8CKgwGbs7zNmH-Aj1eB45iRudcMhO4bo6zM1HTlNnxjBAM32OV*1/Meninah1.jpg)
MGANGA ANAYEDAI KUMNG’ARISHA MENINAH ATOBOA SIRI NZITO