MBUNGE ANAYEONYESHA DALILI ZA CORONA ATAFANYIWA VIPIMO ILA HATUTANGAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zZLnFh6Nd9o/XrZRNF3neUI/AAAAAAAATns/96HJduderS0ho5IEgjy1EDzWcGF1z0rLACLcBGAsYHQ/s72-c/vvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvv.jpg)
Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amesema kuwa Mbunge yeyote ambaye anahisi ana dalili za maambukizi ya Virusi vya Corona anafanyiwa vipimo, isipokuwa hawatangazi tu kwenye vyombo vya habari.
Spika Ndugai ameyabainisha hayo, wakati akifanya mazungumzo maalum na kuhojiwa kwamba je wanao mpango wa kuwafanyia vipimo Wabunge wote ili atakayebainika kupata maambukizi awekwe Karantini?, ambapo Spika alijibu.
"Kila Mbunge ambaye anajihisi vibaya anafanyiwa vipimo, tunachofanya hatutangazi tu"...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya corona: Vipimo vinavyotumika kupima corona Tanzania havina hitilafu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDiu2Kz32rE/VTCjhdWZVkI/AAAAAAAAbAk/QD6cUOOMq6c/s72-c/1.jpg)
SAKATA LA EMMANUEL MBASHA KUBAKA: Daktari Atoa Ushahidi Mahakamani, Asema Vipimo Havikuonyesha Dalili yoyote ya Msichana Huyo Kubakwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDiu2Kz32rE/VTCjhdWZVkI/AAAAAAAAbAk/QD6cUOOMq6c/s640/1.jpg)
Shahidi wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.
Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo.Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba vipimo alivyomfanyia msichana huyo anayedaiwa kubakwa na Mbasha, havikuonyesha kitu chochote.
Dk. Migole alidai kuwa...
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Watoto wengi walioapata corona hawakuonesha dalili
5 years ago
MichuziRMO SHINYANGA : SIYO KILA MGONJWA MWENYE DALILI ZA CORONA, ANA CORONA
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Dalili potofu za Corona zitaondolewa YouTube
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/6gjzQ3W86C8/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahJjIDDkNIk/XsUvdMq4WBI/AAAAAAALq-4/kYfpPpZw0OMxBQF3v0fAQ6xadJ_1g4G8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B11.55.36%2BAM.jpeg)
WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wagonjwa ambao dalili za Covid-19 haziishi haraka