Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dalili potofu za Corona zitaondolewa YouTube

Mtandao wa Youtube umesema utaondoa taarifa yoyote inayoonyesha dalili za kupotosha kuhusu virusi vya Corona

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watoto wengi walioapata corona hawakuonesha dalili

Utafiti uliofanywa Ulaya umebainisha ni nadra sana kutokea kwa vifo miongoni mwa watoto walioambukizwa virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

RMO SHINYANGA : SIYO KILA MGONJWA MWENYE DALILI ZA CORONA, ANA CORONA

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akifungua Mafunzo juu ya ugonjwa wa Corona kwa watoa huduma za afya kutoka katika vituo vya afya halmashauri ya wilaya ya Ushetu,Kahama Mji na Msalala yaliyofadhiliwa na Shirika la LifeWater International leo Alhamis Mei 7,2020 kwenye Ukumbi wa Kahama College of Health Sciences mjini Kahama. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blogMganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akiwasisitiza wataalamu wa afya kutumia taaluma yao...

 

5 years ago

BBCSwahili

Corona: Umekumbana na habari zipi potofu kuhusu lishe bora?

Huku janga la corona likiendelea kuathiri mataifa mengi kote duniani,ushauri wa kupotosha wa kiafya unazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona

Boris Johnson anaendelea na "vipimo vya kawaida", siku 10 baada ya kugunduliwa na virusi vya corona

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE ANAYEONYESHA DALILI ZA CORONA ATAFANYIWA VIPIMO ILA HATUTANGAZI

  Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amesema kuwa Mbunge yeyote ambaye anahisi ana dalili za maambukizi ya Virusi vya Corona anafanyiwa vipimo, isipokuwa hawatangazi tu kwenye vyombo vya habari.

Spika Ndugai ameyabainisha hayo, wakati akifanya mazungumzo maalum na kuhojiwa kwamba je wanao mpango wa kuwafanyia vipimo Wabunge wote ili atakayebainika kupata maambukizi awekwe Karantini?, ambapo Spika alijibu.

"Kila Mbunge ambaye anajihisi vibaya anafanyiwa vipimo, tunachofanya hatutangazi tu"...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao

Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa ambao dalili za Covid-19 haziishi haraka

Wengi miongoni mwa wagonjwa hupona haraka ugonjwa wa Covid-19 - lakini kwa baadhi, dalili zake huendelea kujionyesha kwa wiki kadhaa.

 

5 years ago

Michuzi

Wagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili

SERIKALI imetangaza watu wapya 53 ambao wameambukizwa VIRUSI vya Corona nchini na hivyo kufanya jumla ya wagonjwa kufikia 147 tangu kutajwa kwa mgonjwa wa kwanza tarehe 16/03/2020, huku Hospitali ya Rufaa ya Amana ikiagizwa rasmi kupokea wagonjwa wenye dalili ya ugonjwa wa Corona badala ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu  wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Asiyeonesha dalili za kuwa na virusi anaweza kuambukiza wengine?

Utafiti unafanyika kufahamu ukweli kuhusu mwenendo wa maambukizi ya virusi vya corona kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani