Dalili potofu za Corona zitaondolewa YouTube
Mtandao wa Youtube umesema utaondoa taarifa yoyote inayoonyesha dalili za kupotosha kuhusu virusi vya Corona
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Watoto wengi walioapata corona hawakuonesha dalili
Utafiti uliofanywa Ulaya umebainisha ni nadra sana kutokea kwa vifo miongoni mwa watoto walioambukizwa virusi vya corona.
5 years ago
MichuziRMO SHINYANGA : SIYO KILA MGONJWA MWENYE DALILI ZA CORONA, ANA CORONA
5 years ago
BBCSwahili25 May
Corona: Umekumbana na habari zipi potofu kuhusu lishe bora?
Huku janga la corona likiendelea kuathiri mataifa mengi kote duniani,ushauri wa kupotosha wa kiafya unazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
Boris Johnson anaendelea na "vipimo vya kawaida", siku 10 baada ya kugunduliwa na virusi vya corona
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zZLnFh6Nd9o/XrZRNF3neUI/AAAAAAAATns/96HJduderS0ho5IEgjy1EDzWcGF1z0rLACLcBGAsYHQ/s72-c/vvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvv.jpg)
MBUNGE ANAYEONYESHA DALILI ZA CORONA ATAFANYIWA VIPIMO ILA HATUTANGAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zZLnFh6Nd9o/XrZRNF3neUI/AAAAAAAATns/96HJduderS0ho5IEgjy1EDzWcGF1z0rLACLcBGAsYHQ/s400/vvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvv.jpg)
Spika Ndugai ameyabainisha hayo, wakati akifanya mazungumzo maalum na kuhojiwa kwamba je wanao mpango wa kuwafanyia vipimo Wabunge wote ili atakayebainika kupata maambukizi awekwe Karantini?, ambapo Spika alijibu.
"Kila Mbunge ambaye anajihisi vibaya anafanyiwa vipimo, tunachofanya hatutangazi tu"...
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao
Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wagonjwa ambao dalili za Covid-19 haziishi haraka
Wengi miongoni mwa wagonjwa hupona haraka ugonjwa wa Covid-19 - lakini kwa baadhi, dalili zake huendelea kujionyesha kwa wiki kadhaa.
5 years ago
MichuziWagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili
SERIKALI imetangaza watu wapya 53 ambao wameambukizwa VIRUSI vya Corona nchini na hivyo kufanya jumla ya wagonjwa kufikia 147 tangu kutajwa kwa mgonjwa wa kwanza tarehe 16/03/2020, huku Hospitali ya Rufaa ya Amana ikiagizwa rasmi kupokea wagonjwa wenye dalili ya ugonjwa wa Corona badala ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Asiyeonesha dalili za kuwa na virusi anaweza kuambukiza wengine?
Utafiti unafanyika kufahamu ukweli kuhusu mwenendo wa maambukizi ya virusi vya corona kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania