Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Corona: Umekumbana na habari zipi potofu kuhusu lishe bora?

Huku janga la corona likiendelea kuathiri mataifa mengi kote duniani,ushauri wa kupotosha wa kiafya unazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Waandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge

Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Itifaki wa Bunge Maalum la Katiba, Bw. Jossey Mwakasyuka (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa ajili ya waandishi wa habari kuhusu kuimarisha Uandishi wa Habari za shughuli za Bunge iliyofanyika tarehe 6 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa African Dreams Conference mjini Dodoma. Kulia ni Mshauri wa mambo ya Kiufundi toka Shirika la UNDP, Bi. Anna Kochannesyan.Mhariri Mtendaji Jamhuri Media Limited, Bw. Deodatus Balile akitoa mada...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanahabari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge

PIX 2.

Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Itifaki wa Bunge Maalum la Katiba, Bw. Jossey Mwakasyuka (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa ajili ya waandishi wa habari kuhusu kuimarisha Uandishi wa Habari za shughuli za Bunge iliyofanyika tarehe 6 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa African Dreams Conference mjini Dodoma. Kulia ni Mshauri wa mambo ya Kiufundi toka Shirika la UNDP, Bi. Anna Kochannesyan.

Na Magreth Kinabo, Maelezo.

WAANDISHI wa habari nchini wameaaswa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je ni tiba zipi nne ambazo WHO inazifanyia utafiti kutibu virisi vya corona?

Shirika la afya duniani lilianzisha mpango wa mshikamano 'solidarity' ambao unahusisha utafiti ambapo mataifa kumi yatafanyia uchunguzi dawa nne zinavyoweza kutibu covid 19

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Habari za kupotosha zilizosambazwa Afrika kuhusu virusi vya corona?

Nchi za Afrika zimekuwa na ongezeko la idadi ya visa vipya vya ugonjwa wa corona na serikali nyingi kwa sasa zimeweka sheria kali za watu kutosongeleana.

 

5 years ago

BBCSwahili

Dalili potofu za Corona zitaondolewa YouTube

Mtandao wa Youtube umesema utaondoa taarifa yoyote inayoonyesha dalili za kupotosha kuhusu virusi vya Corona

 

11 years ago

Mwananchi

Dhana potofu kuhusu vyakula na kisukari

Kuwa na elimu sahihi kuhusu maradhi ya kisukari kwa wagonjwa wa kisukari na watu wasio wagonjwa ni njia madhubuti ya kuyakabili maradhi hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Dhana potofu kuhusu vyakula na kisukari-2

Vyakula ni mhimili mkuu katika kujikinga na pia kudhibiti maradhi ya kisukari ambayo kwa sasa karibu kila mtu ana ndugu au rafiki yake anayeugua ugonjwa huo.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA

 Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum akisalimiana na mwakilishi kutoka UNICEF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.  Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum akisikiliza kwa makini hoja iliyokuwa ikitolewa na mwakilishi kutoka CIFF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.

 Wajumbe kutoka nchi mbali mbali Duniani wakimsikiliza Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya ( hayupo kwenye picha) alipokuwa akiwasilisha mada na kuchangia hoja mbalimbali katika mkutano uliohusu Lishe bora kwa mtoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani