WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ahJjIDDkNIk/XsUvdMq4WBI/AAAAAAALq-4/kYfpPpZw0OMxBQF3v0fAQ6xadJ_1g4G8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B11.55.36%2BAM.jpeg)
Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Apr
Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia
WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.
10 years ago
Habarileo26 May
Wakala wa Vipimo aonya wananchi
WAKALA wa Vipimo nchini (WMA) umewasisitiza wananchi kutambua kuwa wanaponunua bidhaa yoyote hususani za gesi wapimiwe kufahamu kiwango chake kwa kuwa ni haki yao ya msingi.
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Wakala wa Vipimo yatahadharisha wanunuzi
OFISA Vipimo wa Mkoa wa Kinondoni, Dar es Salaam, Hashimu Athumani, amewatahadharisha wanunuzi wa bidhaa kuwa makini na hila zinazofanywa na wafanyabiashara kuharibu vipimo kwa ajili ya kujiongezea faida, hali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZW2kjXmdyM/XlkNGjJedzI/AAAAAAALf0M/T8PJYtGLgtMpdEeAjTBDGKCXjLGLvmivACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.58%2BPM.jpeg)
WAKALA WA VIPIMO MKOA WA ILALA WAMEWAAGIZA WAFANYABIASHARA KUHAKIKI MIZANI YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZW2kjXmdyM/XlkNGjJedzI/AAAAAAALf0M/T8PJYtGLgtMpdEeAjTBDGKCXjLGLvmivACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.58%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-seMFj9TRM48/XlkNGeoBDsI/AAAAAAALf0I/tnkraDDmMHo34QKz9SpR6JzrXcJbgSvFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.59%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iqwEi5hAjqM/XlkNFpCs0cI/AAAAAAALf0E/dlXhknwpA5kBpaLyyqQlQ16csBKwR9cKQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B3.00.00%2BPM.jpeg)
WAKALA wa Vipimo mkoa wa Ilala umewataka wafanyabiashara wanaoagiza ama kuuza mizani mipya kuhakikisha mizani hiyo imehakikiwa na Wakala wa Vipimo kwa mujibu wa sheria.
Wito...
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YAIPONGEZA WAKALA WA VIPIMO (WMA)
9 years ago
StarTV27 Nov
 Mratibu Maabara Korogwe kukamatwa  kwa Jaribio La Kuiba Vipimo Vya Malaria
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara wa halmashauri ya mji huo kwa madai ya kufanya jaribio la wizi wa vipimo vya kupimia ugonjwa wa Malaria MRDT.
Basondole anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Mji wa Korogwe anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyo.
Ofisa wa dawa wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe Issa Mkwawa amesema tukili lilo limetokea Novemba 11 na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9onMqBWpz6s/VGnatN4HexI/AAAAAAAAYsU/2NsSbTYPNzE/s72-c/001.jpg)
Hospitali ya Aga Khan yatoa vipimo vya bure kwa wabunge Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-9onMqBWpz6s/VGnatN4HexI/AAAAAAAAYsU/2NsSbTYPNzE/s640/001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-faoo2SOFYMc/VGna2muuZMI/AAAAAAAAYsc/8hGuMSV8Oes/s640/002.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8ZRCIYV5poLfDuaF1Y44XNKCRsBqgISlUrIwks-TBW5uD2ztaVfoHWWEul5rBjtxqGZ3ONMkbZimxCJBJu5Vboj/001.jpg)
HOSPITALI YA AGA KHAN YATOA VIPIMO VYA BURE KWA WABUNGE DODOMA
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Wanaume wakimbia vipimo
WANAWAKE wengi wa Tarafa ya Mwese katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, wanalazimika kujifungulia nyumbani kutokana na kunyimwa huduma kwenye kliniki baada ya kushindwa kwenda na waume zao kupimwa afya. Hayo yalielezwa...