Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA

 Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia

WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Wakala wa Vipimo aonya wananchi

Deogratias ManenoWAKALA wa Vipimo nchini (WMA) umewasisitiza wananchi kutambua kuwa wanaponunua bidhaa yoyote hususani za gesi wapimiwe kufahamu kiwango chake kwa kuwa ni haki yao ya msingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakala wa Vipimo yatahadharisha wanunuzi

OFISA Vipimo wa Mkoa wa Kinondoni, Dar es Salaam, Hashimu Athumani, amewatahadharisha wanunuzi wa bidhaa kuwa makini na hila zinazofanywa na wafanyabiashara kuharibu vipimo kwa ajili ya kujiongezea faida, hali...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO MKOA WA ILALA WAMEWAAGIZA WAFANYABIASHARA KUHAKIKI MIZANI YAO

 Mfanyabiashara mkazi wa Malapa Aisha Ally akifanya maalipo baada ya mizani yake kuhakikiwa na Afisa Vipimo Clement Costantino. Mkazi wa Buguruni Victor Kelei akihakiki mizani yake eneo la ofisi ya Kata ya Buguruni Mtaa wa malapa.Mafundi wakitengeneza au kurekebisha mizani yenye hitilafu Kata ya Buguruni Mtaa wa malapa.
WAKALA wa Vipimo mkoa wa Ilala  umewataka wafanyabiashara wanaoagiza ama kuuza mizani mipya kuhakikisha mizani hiyo imehakikiwa na Wakala wa Vipimo kwa mujibu wa sheria.
Wito...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YAIPONGEZA WAKALA WA VIPIMO (WMA)

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo Dkt. Ludovick Manege (aliyenyoosha mkono)  akiwaongoza wabunge wa kamati ya kudumu ya bunge Viwanda, Biashara na Mazingira waliofika kutembelea katika kituo cha Misugusugu Kibaha - Pwani kujionea shughuli zinazofanywa ikiwemo kujifunza mambo mbali mbali.
Mjumbe wa kamati ya bunge viwanda, biashara na mazingira akiuliza swali mara baada ya  mara baada ya katika kituo Wakala wa Vipimo kilichopo Misugusugu kilichoko mkoani Kibaha - Pwani. Mwenyekiti wa...

 

9 years ago

StarTV

 Mratibu Maabara Korogwe kukamatwa  kwa Jaribio La Kuiba Vipimo Vya Malaria

 

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara wa halmashauri ya mji huo kwa madai ya kufanya jaribio la wizi wa vipimo vya kupimia ugonjwa wa Malaria MRDT.

Basondole anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Mji wa Korogwe anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyo.

Ofisa wa dawa wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe Issa Mkwawa amesema tukili lilo limetokea Novemba 11 na...

 

10 years ago

Vijimambo

Hospitali ya Aga Khan yatoa vipimo vya bure kwa wabunge Dodoma

Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi John Komba akipimwa urefu kwenye viwanja vya Bunge na jopo la madaktari kutoka hospitali ya Aga Khan. Zaidi ya wabunge 200 pamoja na wafanyakazi wa bunge walipata semina ya afya pamoja kupima afya zao bure mwishoni mwa wiki kwenye zoezi ambalo liliongozwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mh. Seif Rashid.Mh. Margaret Sitta akichukuliwa damu kwa ajili ya vipimo na mshauri wa afya kutoka hospitali ya Aga Khan kwenye jengo la Bunge. Zaidi ya wabunge 200...

 

10 years ago

GPL

HOSPITALI YA AGA KHAN YATOA VIPIMO VYA BURE KWA WABUNGE DODOMA‏

Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi John Komba akipimwa urefu kwenye viwanja vya Bunge na jopo la madaktari kutoka hospitali ya Aga Khan. Zaidi ya wabunge 200 pamoja na wafanyakazi wa bunge walipata semina ya afya pamoja kupima afya zao bure mwishoni mwa wiki kwenye zoezi ambalo liliongozwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mh. Seif Rashid. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaume wakimbia vipimo

WANAWAKE wengi wa Tarafa ya Mwese katika Halmashauri ya Wilaya ya  Mpanda mkoani  Katavi, wanalazimika kujifungulia nyumbani kutokana na kunyimwa huduma kwenye kliniki baada ya  kushindwa  kwenda na waume zao kupimwa afya. Hayo yalielezwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani