Wakala wa Vipimo aonya wananchi
WAKALA wa Vipimo nchini (WMA) umewasisitiza wananchi kutambua kuwa wanaponunua bidhaa yoyote hususani za gesi wapimiwe kufahamu kiwango chake kwa kuwa ni haki yao ya msingi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahJjIDDkNIk/XsUvdMq4WBI/AAAAAAALq-4/kYfpPpZw0OMxBQF3v0fAQ6xadJ_1g4G8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B11.55.36%2BAM.jpeg)
WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...
11 years ago
Habarileo09 Apr
Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia
WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Wakala wa Vipimo yatahadharisha wanunuzi
OFISA Vipimo wa Mkoa wa Kinondoni, Dar es Salaam, Hashimu Athumani, amewatahadharisha wanunuzi wa bidhaa kuwa makini na hila zinazofanywa na wafanyabiashara kuharibu vipimo kwa ajili ya kujiongezea faida, hali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZW2kjXmdyM/XlkNGjJedzI/AAAAAAALf0M/T8PJYtGLgtMpdEeAjTBDGKCXjLGLvmivACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.58%2BPM.jpeg)
WAKALA WA VIPIMO MKOA WA ILALA WAMEWAAGIZA WAFANYABIASHARA KUHAKIKI MIZANI YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZW2kjXmdyM/XlkNGjJedzI/AAAAAAALf0M/T8PJYtGLgtMpdEeAjTBDGKCXjLGLvmivACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.58%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-seMFj9TRM48/XlkNGeoBDsI/AAAAAAALf0I/tnkraDDmMHo34QKz9SpR6JzrXcJbgSvFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.59%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iqwEi5hAjqM/XlkNFpCs0cI/AAAAAAALf0E/dlXhknwpA5kBpaLyyqQlQ16csBKwR9cKQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B3.00.00%2BPM.jpeg)
WAKALA wa Vipimo mkoa wa Ilala umewataka wafanyabiashara wanaoagiza ama kuuza mizani mipya kuhakikisha mizani hiyo imehakikiwa na Wakala wa Vipimo kwa mujibu wa sheria.
Wito...
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YAIPONGEZA WAKALA WA VIPIMO (WMA)
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Wananchi waaswa kuachana na Matumizi ya Vipimo visivyo Rasmi
Kaimu Meneja Sehemu ya Habari toka Wakala wa Vipimo Bi. Irene John akiwaeleza jambo waandishi wa Habari (hawapo pichani) na kuwatahadharisha wananchi kuhusu matumizi ya vipimo batili unaofanywa kwa kusutumia visado na ndoo za Plastiki. Wanaofuata Kushoto kwake ni Afisa Habari Idara ya Habari (MAELEZO) Frank Mvungi,Mkurugenzi wa Idara ya Ufundi Bw. Peter Masinga na Mwisho ni Meneja wa Upimaji Bw. Richard Kadeghe.
Mkuu wa Kitengo cha Sheria Toka Wakala wa Vipimo Bw. Moses Mbunda akiwaeleza...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Wanaume wakimbia vipimo
WANAWAKE wengi wa Tarafa ya Mwese katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, wanalazimika kujifungulia nyumbani kutokana na kunyimwa huduma kwenye kliniki baada ya kushindwa kwenda na waume zao kupimwa afya. Hayo yalielezwa...
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Vipimo vyamchongea Andrey Coutinho
10 years ago
Mtanzania10 Apr
‘Sheria mpya ya vipimo iharakishwe’
Patricia Kimelemeta
MAMLAKA ya Wakala wa Vipimo (WMA)wameiomba serikali kuharakisha sheria ya vipimo itakayotoa adhabu kali kwa wafanyabiashara watakaobainika wanatumia vipimo batili kuwadhulumu wananchi.
Kauli hiyo imetolewa siku chache baada ya maofisa wa WMA kufanya ukaguzi wa kushtukiza katika baadhi ya vituo vya mafuta na kubaini idadi kubwa ya vituo hivyo vinaharibu pampu za mafuta na kuwadhulumu wananchi ili kupata faida kubwa.
Katika ukaguzi huo, Mkoa wa Vipimo wa Kinondoni ulibaini...