Wananchi waaswa kuachana na Matumizi ya Vipimo visivyo Rasmi
Kaimu Meneja Sehemu ya Habari toka Wakala wa Vipimo Bi. Irene John akiwaeleza jambo waandishi wa Habari (hawapo pichani) na kuwatahadharisha wananchi kuhusu matumizi ya vipimo batili unaofanywa kwa kusutumia visado na ndoo za Plastiki. Wanaofuata Kushoto kwake ni Afisa Habari Idara ya Habari (MAELEZO) Frank Mvungi,Mkurugenzi wa Idara ya Ufundi Bw. Peter Masinga na Mwisho ni Meneja wa Upimaji Bw. Richard Kadeghe.
Mkuu wa Kitengo cha Sheria Toka Wakala wa Vipimo Bw. Moses Mbunda akiwaeleza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
TPB yazindua huduma malaamu ya akaunti kwa vikundi visivyo rasmi
![](http://1.bp.blogspot.com/-LFWbhvcRazU/VYuYO3536SI/AAAAAAAAVTQ/TODV9fFu78g/s640/NEC_TPB.jpg)
Katika jitihada za kuwafikia Watanzania mbalimbali Benki ya Posta Tanzania (TPB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya Vikundi Visivyo Rasmi.
Uzinduzi huo ulifanywa na Katibu Mtendaji wa Shirika la Uwezeshaji Tanzania, Beng’I Issa katika viwanja vya Shule ya Msingi Osterbay, Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LFWbhvcRazU/VYuYO3536SI/AAAAAAAAVTQ/TODV9fFu78g/s72-c/NEC_TPB.jpg)
TPB YAZINDUA HUDUMA MAALUMU YA AKAUNTI KWA VIKUNDI VISIVYO RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LFWbhvcRazU/VYuYO3536SI/AAAAAAAAVTQ/TODV9fFu78g/s640/NEC_TPB.jpg)
KATIKA jitihada za kuwafikia Watanzania mbalimbali Benki ya Posta Tanzania (TPB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya Vikundi Visivyo Rasmi. Uzinduzi huo ulifanywa na Katibu Mtendaji wa Shirika la Uwezeshaji Tanzania, Beng’I Issa katika viwanja vya Shule ya Msingi Osterbay, Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa...
10 years ago
Habarileo26 May
Wakala wa Vipimo aonya wananchi
WAKALA wa Vipimo nchini (WMA) umewasisitiza wananchi kutambua kuwa wanaponunua bidhaa yoyote hususani za gesi wapimiwe kufahamu kiwango chake kwa kuwa ni haki yao ya msingi.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ITCnkrKpSys/ViIRJXYczlI/AAAAAAAIAho/tmkKEh80SUE/s72-c/image_1.jpeg)
WAHITIMU WAASWA KUACHANA NA FIKRIA POTOFU KUWA ELIMU WANAYOIPATA ITAWAPATIA AJIRA SERIKALINI AU KWENYE SEKTA BINAFSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ITCnkrKpSys/ViIRJXYczlI/AAAAAAAIAho/tmkKEh80SUE/s640/image_1.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lQi0GpbGI1Y/ViIRKhsfnmI/AAAAAAAIAh8/cSdwkMKdea8/s640/image_3.jpeg)
9 years ago
MichuziWakulima waaswa kwenye matumizi ya mikopo
5 years ago
MichuziWajasiriamali waaswa matumizi salama ya Kemikali nchini
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Wajasiriamali wanaozalishaji wa bidhaa mbalimbali zinzotumia kemikali wametakiwa kutumia kemikali hizo kwa usalama ili ziweze kuleta madhara kwa watumiaji na wakati mwingine madhara hayo yanaweza kutokea hata kwa wazalishaji.
Akizungumza katika Mafunzo ya wajasiriamali wa Wadogo na Kati wa Kanda ya Mashariki yaliyofanyika jijini Dar es Salaam Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko amesema kuwa uchumi wa viwanda nchini pamoja na wazalishaji wa...
9 years ago
VijimamboDK.SLAA ATANGAZA RASMI KUACHANA NA SIASA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gzMFPFoONNw/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahJjIDDkNIk/XsUvdMq4WBI/AAAAAAALq-4/kYfpPpZw0OMxBQF3v0fAQ6xadJ_1g4G8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B11.55.36%2BAM.jpeg)
WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...