Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima waaswa kwenye matumizi ya mikopo

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bibi Rosebud Kurwijila (Aliyesimama) akiwapungia wakulima waliojitokeza wakati wa hafla ya utiaji saini makubaliano ya mikopo kati ya TADB na wakulima wadogo wadogo wa mkoa wa Iringa, katika kijiji cha Igomaa, wilayani Mufindi mkoani Iringa.Mkurugenzi wa Mikopo na Biashara wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Robert Pascal (Kulia) akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kisheria wa Benki,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA

Baada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye, wakulima wadogo 21,000 walio katika vikundi 89 vya ushirika katika Kata ya Igomaa, mkoani Iringa keshokutwa wanatarajiwa kupatiwa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shbilioni 1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) nchini kwa ajili ya maendeleo ya shghuli zao za kilimo. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Mkurugenzi wa Mikopo na Usimamizi wa Biashara wa benki hiyo, Robert Pascal alisema maandalizi kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Toeni huduma bora, Bodi ya Mikopo waaswa

HESLB 1

Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimali Watu na Utawala wa HESB Bi. Nuru Sovella akiongea katika hafla ya kufunga mafunzo kwa watumishi wapya wa Bodi hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. George Nyatega.

HESLB 2

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. George Nyatega akiwa katika picha kumbukumbu na watumishi wapya wa Bodi hiyo mara baada ya kufunga mafunzo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.

HESLB 3

Baadhi ya watumishi wapya wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA WA UFUTA WAASWA








Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu akikagua ufuta kwenye ghala la Huru Amcos lililopo Kijiji cha Shangani kata ya Michenjele ambapo amewaasa Wakulima wa Ufuta kuzingatia ubora na kuuza ufuta wao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.
…………………………………………………………………………………………..
~ Kuhakikisha wanauza Ufuta ghalani
 ~ Kuzingatia ubora 
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wakulima wa zao la Ufuta wameaswa kuuza Ufuta wao kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora na si vinginevyo. 
Hayo yamejiri...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakulima waaswa wapunguze antibiotics

Ripoti moja ya kisayansi imewataka wakulima wapunguze matumizi ya dawa za kukabiliana na viini kutokana na madhara yake ya afya kwa binadamu

 

5 years ago

Michuzi

Wajasiriamali waaswa matumizi salama ya Kemikali nchini



Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii

Wajasiriamali wanaozalishaji wa bidhaa mbalimbali zinzotumia kemikali wametakiwa kutumia kemikali hizo kwa usalama ili ziweze kuleta madhara kwa  watumiaji na wakati mwingine madhara hayo yanaweza kutokea hata kwa wazalishaji.

Akizungumza  katika Mafunzo ya wajasiriamali wa Wadogo na Kati wa Kanda ya Mashariki  yaliyofanyika  jijini Dar es Salaam Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko amesema kuwa uchumi wa viwanda nchini pamoja na wazalishaji  wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafunzo, mikopo ya NMB kuwanufaisha wakulima

KILIMO ni muhimu katika kuchangia ukuaji wa uchumi nchini. Mchango wa sekta hii katika kuongeza kasi ya ukuaji wa pato la taifa ni mkubwa kuanzia kwenye mazao. Lakini kwa kipindi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi waaswa kuachana na Matumizi ya Vipimo visivyo Rasmi

DSCI0058

Kaimu Meneja Sehemu ya Habari toka Wakala wa Vipimo Bi. Irene John akiwaeleza jambo waandishi wa Habari (hawapo pichani) na kuwatahadharisha wananchi kuhusu matumizi ya vipimo batili unaofanywa kwa kusutumia visado na ndoo za Plastiki. Wanaofuata Kushoto kwake ni Afisa Habari Idara ya Habari (MAELEZO) Frank Mvungi,Mkurugenzi wa Idara ya Ufundi Bw. Peter Masinga na Mwisho ni Meneja wa Upimaji Bw. Richard Kadeghe.

DSCI0084

Mkuu wa Kitengo cha Sheria Toka Wakala wa Vipimo Bw. Moses Mbunda akiwaeleza...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima nchini waaswa kutumia kilimo cha mseto

Wakulima nchini wametakiwa kujikita kwenye kilimo mseto ili kuongeza tija ya uzalishaji, hatua ambayo itasaidia kuinua kipato

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KILIMO CHA PARACHICHI



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipata maelezo kuhusu mitambo inayotumika kutengeneza na kusaga zao la parachichi kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda cha Olivado Bw. Ngukula Lihuluku wakati wa ziara yake katika kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe.Meneja Uzalishaji wa kiwanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani