Wakulima waaswa wapunguze antibiotics
Ripoti moja ya kisayansi imewataka wakulima wapunguze matumizi ya dawa za kukabiliana na viini kutokana na madhara yake ya afya kwa binadamu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1592565865801.jpg)
WAKULIMA WA UFUTA WAASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s640/FB_IMG_1592565865801.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu akikagua ufuta kwenye ghala la Huru Amcos lililopo Kijiji cha Shangani kata ya Michenjele ambapo amewaasa Wakulima wa Ufuta kuzingatia ubora na kuuza ufuta wao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.
…………………………………………………………………………………………..
~ Kuhakikisha wanauza Ufuta ghalani
~ Kuzingatia ubora
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wakulima wa zao la Ufuta wameaswa kuuza Ufuta wao kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora na si vinginevyo.
Hayo yamejiri...
9 years ago
MichuziWakulima waaswa kwenye matumizi ya mikopo
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Wakulima nchini waaswa kutumia kilimo cha mseto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gtxgqskCrYc/XvZEccPtVWI/AAAAAAALvnw/56XQbyLNCXY3PUVVyV_k2SiaBCX4jO4egCLcBGAsYHQ/s72-c/N3.jpg)
WAKULIMA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KILIMO CHA PARACHICHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gtxgqskCrYc/XvZEccPtVWI/AAAAAAALvnw/56XQbyLNCXY3PUVVyV_k2SiaBCX4jO4egCLcBGAsYHQ/s640/N3.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipata maelezo kuhusu mitambo inayotumika kutengeneza na kusaga zao la parachichi kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda cha Olivado Bw. Ngukula Lihuluku wakati wa ziara yake katika kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/N4.jpg)
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Je,antibiotics husababisha kisukari?
10 years ago
Vijimambo27 Mar
JE, ANTIBIOTICS HUSABABISHA KISUKARI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/26/150326132006_antibiotics_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Wagonjwa wanaotibiwa na dawa za viuavijasumu ama antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ,watafiti wamegundua.
Utafiti uliochapishwa na Jarida la utafiti wa damu ulifuatilia dawa zinazopewa mamilioni ya wagonjwa nchini Uingereza.Waanzilishi wa utafiti huo wanasema kuwa matokeo ya utafiti huo hayamaanishi kwamba dawa hizo husababisha kisukari ,na badala yake maambukizi huenda ni ishara za mapema kwamba mtu...
11 years ago
TheCitizen25 Jan
World without antibiotics? The risk is real for patients
5 years ago
TechCrunch22 Mar
YC startup Felix wants to replace antibiotics with programmable viruses