Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JE, ANTIBIOTICS HUSABABISHA KISUKARI


Dawa za antibiotics
Wagonjwa wanaotibiwa na dawa za viuavijasumu ama antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ,watafiti wamegundua.
Utafiti uliochapishwa na Jarida la utafiti wa damu ulifuatilia dawa zinazopewa mamilioni ya wagonjwa nchini Uingereza.Waanzilishi wa utafiti huo wanasema kuwa matokeo ya utafiti huo hayamaanishi kwamba dawa hizo husababisha kisukari ,na badala yake maambukizi huenda ni ishara za mapema kwamba mtu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je,antibiotics husababisha kisukari?

Wagonjwa wanaotibiwa na antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari

 

10 years ago

Dewji Blog

Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India

Image 1

from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.

Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakulima waaswa wapunguze antibiotics

Ripoti moja ya kisayansi imewataka wakulima wapunguze matumizi ya dawa za kukabiliana na viini kutokana na madhara yake ya afya kwa binadamu

 

11 years ago

TheCitizen

World without antibiotics? The risk is real for patients

Humans face the very real risk of a future without antibiotics, a world of plummeting life expectancy where people die from diseases easily treatable today, scientists say.

 

5 years ago

TechCrunch

YC startup Felix wants to replace antibiotics with programmable viruses

YC startup Felix wants to replace antibiotics with programmable viruses  TechCrunch

 

10 years ago

TheCitizen

OLUM: Need to curb misuse of antibiotics if we’re to avert looming disaster

A scratch to your skin by your own nails could in the future leave you fighting for your life. A visit to your doctor would be a waste of time as only luck would decide your fate.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je, mitandao husababisha magonjwa ya zinaa?

Mitandao ya kuwakutanisha wapendanao inaongeza viwango vya magonjwa ya zinaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,talaka husababisha mshtuko wa moyo?

Watu walio katika talaka wana uwezekano mkubwa wa kupatwa na ugonjwa wa mshtuko wa moyo, utafiti umesema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Viagra husababisha upofu.

Watafiti nchini Australia wanadai kwamba dawa inayotumiwa kuongeza nguvu za kiume VIAGRA husababisha upofu baada ya mda mrefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani