Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, mitandao husababisha magonjwa ya zinaa?

Mitandao ya kuwakutanisha wapendanao inaongeza viwango vya magonjwa ya zinaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa wapenzi wa jinsia moja

Maradhi ya zinaa yanayosambazwa miongoni mwa wapenzi wanaume wa jinsia moja inatamausha.

 

10 years ago

GPL

MAGONJWA YA ZINAA YANAYOSABABISHA KUZIBA KWA MRIJA WA MKOJO-2

Dalili, mtu mwenye tatizo hili anaweza kuwa na dalili zifuatazo, kwa mwanaume hutokwa na manii zilizochanganyika na damu, kukojoa mkojo mweusi au uliochanganyika na damu, kutoa mkojo kidogo sana tena kwa shida, kukojoa mara kwa mara na kushindwa kumaliza mkojo wote. Wengine huona dalili za mkojo kujitokea wenyewe, hivyo mhusika kujikojolea, kusikia maumivu wakati wa kukojoa au chini ya tumbo au kwenye kinena, mkojo kutawanyika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Magonjwa ya moyo bado ni miongoni mwa magonjwa yanayochangia vifo vingi Tanzania

Ahmedabad Apollo hospital

Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, WHO zilizotolewa mwaka 2011, Vifo vilivyotokana na magojwa ya moyo nchini Tanzania  vilifikia idadi ya watu 19,083, au asilimia 4.33% ya idadi ya vifo vyote. Na takwimu hizo zilionyesha idadi ya wanaofariki ni watu 117.64 kati ya watu 100,000, na takwimu hizi zikiiweka Tanzania katika nafasi ya 87 ulimwenguni.

Magonjwa haya ya moyo yanasababisha vifo vipatavyo idadi ya watu milioni 12 kwa mwaka duniani kote. Hata hivyo shirika la Afya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kondomu inayotambua maambukizi ya Zinaa

Wanafunzi nchini Uingereza wamezindua mpira wa kondomu inayowaonya watumiaji wanapojamiana na mtu aliyeambukizwa maradhi ya zinaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Saratani ya Tezi-Kibofu ni 'maradhi ya Zinaa?'

Wanasayansi nchini Marekani wanasema kwamba Saratani hiyo husababishwa na maradhi yanayoenezwa wakati wa kitendo cha ngono.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tumbaku chanzo cha maradhi ya zinaa

Sigara na bidhaa nyinginezo za Tumbaku, zinasemekana kuongeza uwezekano wa mtumiaji kuambukizwa virusi vinavyooambukizwa kwa njia ya zinaa vinavyohusishwa na Saratani ya Koo na Mdomo .

 

11 years ago

BBCSwahili

Je ni sawa vyombo vya dola kuharamisha Zinaa?

Mume aliyempata mkewe akizini mjini Nairobi alimpeleka katika kituo cha polisi pamoja na mwanamume aliyemkamata naye kuwashitaki.

 

10 years ago

GPL

SARA MVUNGI: NINA MIAKA KUMI SIJAFANYA ZINAA

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu aliyejikita kumtumikia    Bwana kwa nyimbo za Injili, Sara Mvungi amesema kuwa, amechoshwa na upweke wa muda mrefu kwa kuishi bila mwanaume kwa takriban miaka 10 kwa kuwa anasubiri Mungu amshushie mume mwema. Msanii wa filamu aliyejikita kumtumikia Bwana kwa nyimbo za Injili, Sara Mvungi. Akitoa la rohoni kwa paparazi wetu, Sara alisema hajajihusisha na masuala ya mapenzi kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,antibiotics husababisha kisukari?

Wagonjwa wanaotibiwa na antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani