MAGONJWA YA ZINAA YANAYOSABABISHA KUZIBA KWA MRIJA WA MKOJO-2
![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVH9g9-uhUr*5FQ61JuJM5WvjyDoYO0ZnuEJfZAas2NaeTiE3dFfRXYkQP3bHOL9XjtiM8GnLRYkjcQHYnsdXS7E/UrinaryTractInfection.jpg)
Dalili, mtu mwenye tatizo hili anaweza kuwa na dalili zifuatazo, kwa mwanaume hutokwa na manii zilizochanganyika na damu, kukojoa mkojo mweusi au uliochanganyika na damu, kutoa mkojo kidogo sana tena kwa shida, kukojoa mara kwa mara na kushindwa kumaliza mkojo wote. Wengine huona dalili za mkojo kujitokea wenyewe, hivyo mhusika kujikojolea, kusikia maumivu wakati wa kukojoa au chini ya tumbo au kwenye kinena, mkojo kutawanyika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa wapenzi wa jinsia moja
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Je, mitandao husababisha magonjwa ya zinaa?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO6wNpcw15OKLp*C3hFMPKQz2Uu-ulez9QACBBOYGbU3pd3jaT1qDZI4ay13MgxfUdnRdjr-WNsOM4EtE9V4A19/mgonjwa.gif?width=650)
HAJA NDOGO MRIJA WAKE, HAJA KUBWA MRIJA WAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3N9HrgPY5tQcZ4Gr8bzoxFFNXc0pn3MRKZsv0hT6DM91jnsYSG*AXThWDn0Ez0UPiiZSf*FnwIHWLvF5x6pYgAj/faropian1.jpg?width=650)
KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Wakwe wanyweshwa mkojo kwa mwaka mmoja,
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*IJyZ2ifRVa5eOR8Vhgp2clsY2jcuWl8msu1lQfiPAis5sIWHFjDRGY8cXJnEP5Zc1P9H47dPd5FUfO3bqsv2i/pid.jpg)
JINSI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSWLbcqj9AbgLhxOBogTx0ndAvlwVFgmoEKgOppEA*dnQDY5GthwvKqWgMCZEacOua5h*GRIbdKe8rrywWGJE3ed/faropian1.jpg)
JINSI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
10 years ago
GPLMAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO KWA WANAWAKE/WANAUME
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Suluhu kwa wagonjwa wa Figo na mfumo wa mkojo yapatikana
Watanzania kunufaika na kile ambacho wachambuzi huona kama nafasi adimu katika sekta ya afya. Hii ni kwasababu nchi inatarajia kupokea wataalamu wawili kutoka taasisi mashuhuri ya matibabu duniani. Kwa kushirikiana na madaktari kutoka hosipitali ya Hindu Mandal. Madaktari kutoka hospitali ya Apollo watahudumia na kutoa ushauri kwa wagonjwa wa figo na mfumo wa mkojo siku ya Oktoba 10 na Oktoba 11 katika Hospitali ya Hindu Mandal Dar es Salaam.
Watanzania wengi wenye maradhi hayo hushindwa...