Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGONJWA YA ZINAA YANAYOSABABISHA KUZIBA KWA MRIJA WA MKOJO-2

Dalili, mtu mwenye tatizo hili anaweza kuwa na dalili zifuatazo, kwa mwanaume hutokwa na manii zilizochanganyika na damu, kukojoa mkojo mweusi au uliochanganyika na damu, kutoa mkojo kidogo sana tena kwa shida, kukojoa mara kwa mara na kushindwa kumaliza mkojo wote. Wengine huona dalili za mkojo kujitokea wenyewe, hivyo mhusika kujikojolea, kusikia maumivu wakati wa kukojoa au chini ya tumbo au kwenye kinena, mkojo kutawanyika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa wapenzi wa jinsia moja

Maradhi ya zinaa yanayosambazwa miongoni mwa wapenzi wanaume wa jinsia moja inatamausha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je, mitandao husababisha magonjwa ya zinaa?

Mitandao ya kuwakutanisha wapendanao inaongeza viwango vya magonjwa ya zinaa.

 

10 years ago

GPL

HAJA NDOGO MRIJA WAKE, HAJA KUBWA MRIJA WAKE

Stori:   makongoro oging’
“Maishi yangu yako hatarini, nachungulia kaburi, nimeteseka kwa muda mrefu bila kupona wala msaada, nimetoka katika ukoo maskini unaotegemea kwa asilimia kubwa kilimo cha jembe la mkono, nitapata wapi shilingi milioni moja na laki tano na arobaini na tano elfu ili nikatibiwe?”
Hii ni sehemu ya kilio cha Steven John anayesumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya tumbo. Steven John...

 

11 years ago

GPL

KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

Kuziba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke ni tatizo kubwa na ndiyo linaloongoza kusababisha ugumba kwa mwanamke ingawa hata matatizo ya vichecheo au homoni pia huchangia.Wanawake wengi wanaohangaika kutafuta watoto hugundulika na tatizo la mirija kuziba.
Matatizo ya mirija ya uzazi kwa wanawake yapo wengi, mfano mirija inaweza kuvimba na kupoteza uhalisia hivyo kushindwa kutungisha mimba. Mirija inaweza kujaa usaha au maji....

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakwe wanyweshwa mkojo kwa mwaka mmoja,

Mwanamke awakomoa wake wanoko kwa kukojolea birika ya chai na kuwapa wanywe bila kujua kwa mwaka mmoja.

 

10 years ago

GPL

JINSI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI-2

Leo naendelea kuelezea namna ya kukabiliana na tatizo la kuziba mirija ya uzazi ambalo limekuwa likiwasumbua baadhi ya watu na kusababisha washindwe kupata watoto. CHANZO CHA TATIZO
Tumeshaona aina kuu tatu za uzibaji wa mirija ya uzazi ambazo ni mwishoni, katikati na mwanzoni. Chanzo kikuu cha uzibaji huu ni maambukizi sugu ya kizazi ambayo kitaalam huitwa ‘pelvic inflamatory Diseases’ au kwa kifupi huitwa...

 

10 years ago

GPL

JINSI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

Hili ni tatizo linalosababisha ugumba kwa wanawake kwa kiasi kikubwa. Wanawake wanaoshindwa kupata ujauzito hukabiliwa na matatizo matatu; Kwanza kabisa ni kuziba kwa mirija ya mayai kama tutakavyoona leo na pili ni matatizo katika mfumo wa homoni ambapo kuna sababu zake tutakuja kuziona katika matoleo yajayo. Hata hivyo, dalili kuu ni kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kutopata hedhi na kupata damu kwa muda mrefu au muda mfupi...

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO KWA WANAWAKE/WANAUME

LEO tuangalie tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo (Urinary disorders) kwa wanawake na wanaume. Maambukizi haya yakiathiri sehemu za chini za kibofu cha mkojo kitaalamu huitwa simple cystitis au Bladder infection na maambukizi hayo yakitokea sehemu za juu za mfumo wa mkojo huitwa pylonephritis au kidney infection. Ugonjwa huu husababishwa na bakteria anayeitwa Escherichia coli. Tatizo hili husababishwa kwa kiasi kikubwa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Suluhu kwa wagonjwa wa Figo na mfumo wa mkojo yapatikana

logo_o_bnr

Watanzania  kunufaika na kile ambacho wachambuzi huona kama nafasi adimu katika sekta ya afya. Hii ni kwasababu nchi inatarajia kupokea wataalamu wawili kutoka taasisi mashuhuri ya matibabu duniani. Kwa kushirikiana na madaktari kutoka hosipitali ya Hindu Mandal. Madaktari kutoka hospitali ya Apollo watahudumia  na kutoa ushauri kwa wagonjwa wa figo na mfumo wa mkojo siku ya Oktoba 10 na Oktoba 11 katika Hospitali ya Hindu Mandal Dar es Salaam.

Watanzania wengi  wenye maradhi hayo hushindwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani