Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakwe wanyweshwa mkojo kwa mwaka mmoja,

Mwanamke awakomoa wake wanoko kwa kukojolea birika ya chai na kuwapa wanywe bila kujua kwa mwaka mmoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kijana akataa kula kwa mwaka mmoja

Landon Jones mwenye umri wa miaka 12 ni kijana aliyepoteza hamu ya kula pamoja na ile ya kunywa kwa siku moja pekee.

 

10 years ago

GPL

EFM RADIO YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA KISHINDO

Keki ya bethidei ya Efm kutimiza mwaka mmoja. Keki ya bethidei ikikatwa. Happy birthday Efm Radio. Familia ya Efm…

 

10 years ago

Habarileo

Jela mwaka mmoja kwa kuishi nchini kinyemela

Pingu.RAIA wa Nigeria Amos Emeka (41) amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini bila kibali.

 

10 years ago

Michuzi

GORAN AMWAGA WINO KWA MWAKA MMOJA KUINOA SIMBA

KOCHA mpya wa Simba raia wa Serbua Goran Kopunovic amemwaga wino wa mwaka mmoja kuinoa timu hiyo ya Msimbazi.
Mmoja wa viongozi wa Simba aliiambia blog ya jamii kuwa kocha huyo aliyewasili leo asubuhi na kufikia kwenye hotel ya Double Tree Masaki ataondoka kesho kwenda Zanzibar kujiunga na timu hiyo ya wekundu wa Msimbazi inayoshiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Naye Kopunovic akizungumza muda mfupi baada ya kukanyaga hardhi ya Tanzania alisema "Nimekuja kufanya kazi, naamini nitapata...

 

10 years ago

Vijimambo

Shilole afungiwa na Basata kwa mwaka mmoja kufanya sanaa


Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ Zuwena Mohammed ‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake Nuh Mziwanda.Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.
Barua kutoka BASATA inasema hivi“Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika onyesho lako la muziki Ubelgiji ulicheza uchi mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania hivyo kudhalilisha utu wako na jamii ya kitanzania kimaadili‘
‘BASATA ilipata habari zako, kumbuka...

 

11 years ago

Bongo5

Didier Drogba arejea Chelsea FC kwa mkataba wa mwaka mmoja

Club ya Chelsea FC imetangaza kuwa imemrudisha kundini mshambuliaji Didier Drogba. Drogba ambaye alikiacha kikosi hicho mwaka 2012, amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea timu hiyo. Baada ya kusaini mkataba mpya Drogba alisema: “Ulikuwa ni uamuzi rahisi- Sikuweza kukataa fursa ya kufanya kazi tena na Jose. Kila mmoja anafahamu uhusiano wa kipekee nilionao na […]

 

11 years ago

Mwananchi

Akata rufaa kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kumfungia mwaka mmoja CCM

Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amekata rufaa Kamati Kuu ya CCM kupinga adhabu ya onyo kali aliyopewa na chama kutokana na madai ya kuanza kampeni za urais mapema kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao.

 

11 years ago

Dewji Blog

Drogba arudisha majeshi klabu ya Chelsea kwa mkataba wa mwaka mmoja!

Didier-Drogba-Chelsea

Mshambuliaji wa Ivory Coast Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga tena na Chelsea.

Drogba, 36, alishinda makombe 10 akiwa na Chelsea kuanzia mwaka 2004 hadi 2012, baada ya kuifungia timu hiyo mabao 157 katika mechi 341 na alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka klabu ya Galatasaray ya Uturuki.

Meneja Jose Mourinho, mapema alisema Stamford Bridge ni kama “kwake” mchezaji huyo.

Drogba ameiambia tovuti ya Chelsea kuwa: “Ulikuwa uamuzi rahisi- sikuweza kukataa nafasi ya kufanya...

 

10 years ago

Bongo5

Nimejipa break ya masuala ya uhusiano kwa karibia mwaka mmoja na nusu — AY

AY ameamua kujipa mapumziko marefu ya kutokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi. Rapper huyo alikiambia kipindi cha Mlimanidotcom cha Mlimani TV kuwa ana mwaka mmoja na nusu sasa bila kuwa kwenye uhusiano wowote. “Sasa hivi nimeingia kwenye break karibia mwaka mmoja na nusu,” alisema AY. “Kila mtu ana uamuzi wake na kila mtu ana mipango yake […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani