Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EFM RADIO YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA KISHINDO

Keki ya bethidei ya Efm kutimiza mwaka mmoja. Keki ya bethidei ikikatwa. Happy birthday Efm Radio. Familia ya Efm…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

93.7 Efm Radio yatimiza mwaka mmoja leo kutoa gari kwa mwananchi wa Dar es Salaam

efm

Baadhi ya vijana wa kazi wa Efm Radio wakiwa kwenye pozi ambapo leo watapita mitaani kwa shangwe huku wakitarajia kutoa gari kwa shabiki atakayeshinda katika jiji la Dar es Salaam, Kinondoni, Ilala na Temeke kazi kwako ndio wakati wa kujitokeza kitaa leo kusheherekea na 93.7 efm Dar es Salaam.

                                                             “HAPPY BIRTHDAY 93.7 Efm RADIO!

6 

Kwa moyo mkunjufu kabisa

, nina penda kuwapongeza sana 93.7 Efm Radio kwa kutimiza mwaka mmoja tangu...

 

10 years ago

Michuzi

EFM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA KWA KISHINDO

Jikekizz la nguvu la kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Radio 93.7 EFM.Mstahiki Meya wa Kinondoni, Yussuf Mwenda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila walipo kutana katika ofisi za EFM asubuhi ya leo.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mtangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi, Dennis Ssebo akiwa na Mkurugrnzi Mkuu wa Radio 93.7 EFM, Francis Ciza.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Michuzi

HATIMAYE BONGO DANSI YATIMIZA MWAKA MMOJA

Hatimaye kundi la BONGO DANSI limetimiza mwaka mmoja kamili tokea kuanzishwa kwake na kufanya sherehe kubwa za maadhimisho katika ukumbi wa Vijana Social Hall.

BONGO DANSI ni kundi linalopatikana kwenye mtandao wa Facebook (kama Facebook Group) lenye lengo ya kujadili  na kuinua muziki wa dansi wa Tanzania sambamba na kuwaunganisha wadau mbalimbali wa tasnia ya muziki wa dansi Tanzania wakiwemo washabiki, wanamuziki, waandishi wa habari, mameneja na wamiliki wa bendi. Mpaka sasa kundi ...

 

10 years ago

Bongo5

Twende Sawa: EFM yazindua shehere za kutimiza mwaka mmoja tangu ianze kwenda hewani

Kituo cha radio EFM kimezindua sherehe za maadhimisho ya kutimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake tarehe 2/4/2014. Mkurugenzi wa mawasiliano EFM, Dennis Ssebo (kulia) akiwa na mkuu wa vipindi EFM, Dickson Ponela Sherehe hiyo imepewa jina la ‘Twende Sawa’ kama njia ya kuwashukuru wasikilizaji kwa kwenda sawa tangu kuwashwa kwa mitambo ya EFM. Akizungumza na […]

 

11 years ago

Michuzi

Exclusive: Maulid Kitenge wa Radio One ahamia Radio EFM

Mtangazaji mahiri wa habari za michezo wa siku nyingi Maulidi Baraka Kitenge amejiunga na kituo cha radio kiitwacho EFM 93.7 kilichopo Kawe jijini Dar Es salaam leo.
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...

 

10 years ago

Michuzi

Radio Magic FM 92.9 yazindua masfa yake na kusherehekea miaka 15 ya uwepo wake kwa kishindo mkoani mtwara

Katika hali isiyo ya kawaida wakazi wa mtwara na viunga vyake wakionekana kujitokeza kwa wingi kwenye sherehe za uzinduzi wa masafa ya 92.9 ya kituo cha radio magic Fm inayomilikiw na Africa media group limited ya jijini dar es salaam.Uzinduzi huo ambao ulikwenda sambamba na sherehe za kumbukumbu za miaka 14 ya radio magic Fm ulupambwa na nyota wa muziki wa mwambao mzee yusuphu, pamoja na wasanii nyota wa Bongo Fleva Lady Jaydee  na Ommy Dimpoz pamoja na Mfalme wa taarabu nchini Mzee Yusuf...

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA RADIO 5 CHAANDAA “KAMPENI YA RADIO 5 VIWANJANI”MSIMU HUU WA SIKUKUU YA XMASS NA MWAKA MPYA

SAM_0369Radio 5 FM 105.7 imeandaa "kampeni ya RADIO 5 viwanjani" katika mkoa wa Arusha ambapo itawakutanisha watangazaji  na madjs na wasikilizaji wao katika kumbi za starehe kwa takribani wiki tano ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru mashabiki wa Redio hiyo kwa kuwa pamoja kwa mwaka mzima huku mashabiki wakijipatia zawadi mbalimbali katika kampeni hiyo(katika picha ni Mtangazaji wa kituo cha Redio 5 Julius Kamafa aliyejizolea umaarufu mkubwa jijini Arusha kupitia kipindi chake cha funiko base ...

 

5 years ago

CCM Blog

BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020-2021 YAPITISHWA KWA KISHINDO


Wabunge wamepitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2020/2021 ya jumla ya shilingi Trilioni 34.88.Bajeti hiyo imepitishwa kwa kura 304 za ndio kati ya kura 371 zilizopigwa na wabunge waliokuwepo bungeni jijini Dodoma.Shughuli ya upigaji kura, imefanyika kwa mbunge kuitwa jina lake na kupiga kura hadharani kwa sauti.Akitangaza matokeo ya kura, Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai amesema, wabunge waliopiga kura walikuwa 371 na wabunge 13 hawakuwepo bungeni.Kagaigai amesema, kura 63...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani