EFM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA KWA KISHINDO
Jikekizz la nguvu la kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Radio 93.7 EFM.
Mstahiki Meya wa Kinondoni, Yussuf Mwenda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila walipo kutana katika ofisi za EFM asubuhi ya leo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mtangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi, Dennis Ssebo akiwa na Mkurugrnzi Mkuu wa Radio 93.7 EFM, Francis Ciza.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLEFM RADIO YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA KISHINDO
10 years ago
Bongo516 Mar
Twende Sawa: EFM yazindua shehere za kutimiza mwaka mmoja tangu ianze kwenda hewani
11 years ago
GPLBENKI YA CRDB TAWI LA UBUNGO YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 2
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s72-c/1.jpg)
CLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s1600/1.jpg)
Globu ya Jamii inaitakia kheri na fanaka Clouds FM katika kusherehekea miaka 15 tangu kuzaliwa kwake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-DjjcZlnX_50/VH28sZpMMmI/AAAAAAACvuk/ZkLywZZngO0/s1600/9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA PASAKA KUTIMIZA MIAKA 15 KWA KISHINDO,KUHUSISHA SHUGHULI MBALIMBALI ZA KIJAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s1600/1.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama amezungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake zilizopo kinondoni Moroco hapo jana,kuhusiana na maandalizi ya tamasha hilo kwa mwaka huu, Msama amesema tamasha hilo mwaka huu pamoja na kuwepo waimbaji wa muziki wa ...
5 years ago
CCM Blog16 Jun
BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020-2021 YAPITISHWA KWA KISHINDO
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/hqdefault-1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mAHYQtHlLj4pKIIi7EXSdRZUSA2xykgy0y9dz6FYG1GHFULFfwrGVddcKtbZJXhid9r*VXtoso7RbNbNK*Ili4W5CIzfpF1z/risasi.jpg)
ISHA, TUNDA WAFUNGUA MWAKA KWA KISHINDO DAR LIVE
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Msaga Sumu afunga mwaka Dar Live kwa kishindo
Bingwa wa muziki wa Singeli, Msaga Sumu akifanya yake Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar .
Mashabiki wakimshangilia Msaga Sumu (hayupo katika picha).
Mashabiki akiendelea na shoo yake.
Akiendelea na Makamuzi yake mida ya Saa 5: 50 usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
(PICHA: MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS/GPL)
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASHEREHEKEA MWAKA MPYA NA WATEJA WAKE