Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twende Sawa: EFM yazindua shehere za kutimiza mwaka mmoja tangu ianze kwenda hewani

Kituo cha radio EFM kimezindua sherehe za maadhimisho ya kutimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake tarehe 2/4/2014. Mkurugenzi wa mawasiliano EFM, Dennis Ssebo (kulia) akiwa na mkuu wa vipindi EFM, Dickson Ponela Sherehe hiyo imepewa jina la ‘Twende Sawa’ kama njia ya kuwashukuru wasikilizaji kwa kwenda sawa tangu kuwashwa kwa mitambo ya EFM. Akizungumza na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

EFM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA KWA KISHINDO

Jikekizz la nguvu la kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Radio 93.7 EFM.Mstahiki Meya wa Kinondoni, Yussuf Mwenda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila walipo kutana katika ofisi za EFM asubuhi ya leo.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mtangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi, Dennis Ssebo akiwa na Mkurugrnzi Mkuu wa Radio 93.7 EFM, Francis Ciza.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

VIJANA WA JOGGING WASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA MMOJA

Keki maalumu kwa Kikundi cha Mji Mwema Jogging. Mshauri wa Mgambo na Mjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Temeke, Luteni Kanali, Juma Sigambena akitoa vyeti.…

 

11 years ago

CloudsFM

LANGA ATIMIZA MWAKA MMOJA TANGU AFARIKI DUNIA

Tarehe kama ya leo mwaka jana,msanii wa Hip Hop, Langa Lileo, rais wa gheto mida ya jioni alitangazwa kuwa amefariki dunia, kwa mujibu wa ripoti ya hospitali msanii huyo alikuwa anasumbuliwa na malaria kali, alilazwa siku moja katika hospitali ya taifa Muhimbili siku ya pili yake ndiyo akafariki. Safari ya Langa kimuziki ilianzia kwenye shindano la kusaka vipaji la Coca-Cola Pop Stars mwaka 2004, na wakapatikana washindi watatu wakaunda kundi la Wakilisha alikuwemo Langa, Shaa, na Witness,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC ELIBARIKI KINGU: Jogoo mmoja sawa na matibabu mwaka mzima

HAYATI Mwalimu Julius Nyerere alitangaza maadui watatu wa maendeleo kuwa ni umaskini, maradhi na ujinga. Kutokana na tangazo hilo kwa wakati huo, kila taasisi kwa nafasi yake ilibeba jukumu la...

 

10 years ago

GPL

EFM RADIO YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA KISHINDO

Keki ya bethidei ya Efm kutimiza mwaka mmoja. Keki ya bethidei ikikatwa. Happy birthday Efm Radio. Familia ya Efm…

 

10 years ago

Dewji Blog

93.7 Efm Radio yatimiza mwaka mmoja leo kutoa gari kwa mwananchi wa Dar es Salaam

efm

Baadhi ya vijana wa kazi wa Efm Radio wakiwa kwenye pozi ambapo leo watapita mitaani kwa shangwe huku wakitarajia kutoa gari kwa shabiki atakayeshinda katika jiji la Dar es Salaam, Kinondoni, Ilala na Temeke kazi kwako ndio wakati wa kujitokeza kitaa leo kusheherekea na 93.7 efm Dar es Salaam.

                                                             “HAPPY BIRTHDAY 93.7 Efm RADIO!

6 

Kwa moyo mkunjufu kabisa

, nina penda kuwapongeza sana 93.7 Efm Radio kwa kutimiza mwaka mmoja tangu...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEHERE ZA UHURU WASHINGTON DC DEC 6TH NI FUNGA MWAKA..NUNUA TICKET LEO

COVER: $100PRICE INCLUSIVE OF:*3 Course Dinner*Champagne Bottle at Every Table*Diamond & WCB Dancers Live Performance*Ultra Exclusive Red Carpet Feat. Premiere Host*Free Professional Photography Pictures*Elegant Ambiance & Settings*Cash Bar*Ample ParkingFOR TICKETS VISIT: WWW.DIAMONDUSATOUR.COM

 

10 years ago

Michuzi

CLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE.

Mmoja wa Watangazaji machachari wa Clouds FM,Adam Mchomvu akitoa muongozo mfupi kwa baadhi ya Wafanyakazi wenzake waliomzunguka,kuhusiana na ukataji na ulaji wa Ndafu kama ionekavyo pichani,wakati wa hafla ya kutimiza miaka 15 ya kituo cha redio ya Clouds FM,tangu kuanzishwa kwake nchini.Redio hiyo imejizolea umaarufu mkubwa Afrika Mashariki na Kati na Duniani kwa ujumla.
Globu ya Jamii inaitakia kheri na fanaka Clouds FM katika kusherehekea miaka 15 tangu kuzaliwa kwake. Ndafu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani