DC ELIBARIKI KINGU: Jogoo mmoja sawa na matibabu mwaka mzima
HAYATI Mwalimu Julius Nyerere alitangaza maadui watatu wa maendeleo kuwa ni umaskini, maradhi na ujinga. Kutokana na tangazo hilo kwa wakati huo, kila taasisi kwa nafasi yake ilibeba jukumu la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Mar
Twende Sawa: EFM yazindua shehere za kutimiza mwaka mmoja tangu ianze kwenda hewani
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/zjg0sWbML4M/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Lubuva: Mgombea mmoja ukawa sawa
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LS1s1nkaAMo/Vltma5Y75FI/AAAAAAAIJD4/JRaiaHa3DOI/s72-c/moja.jpg)
MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima
![](http://3.bp.blogspot.com/-LS1s1nkaAMo/Vltma5Y75FI/AAAAAAAIJD4/JRaiaHa3DOI/s640/moja.jpg)
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Lulu Atoboa Sababu ya Kutofanya ‘Movie’kwa Mwaka Mzima
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael,’Lulu’amefunguka sababu ya kutofanya filamu kwa mwaka mzima kuwa alikuwa bize na shughuli zingine ikiwemo masomo.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa mwaka jana wote alikuwa ‘host’ kwenye mashindano ya kutafuta vipaji vya uigizaji (Tanzania Movie Talents) ambayo ilifanyika karibu mikoa yote,pia alikuwa bize na masomo katika chuo cha Magogoni akichukua kozi ya Public Administration.
‘’Mwaka jana wote sikufanya filamu kabisa kutokana na kuwa bize...
9 years ago
Bongo502 Oct
Serena Williams atangaza kupumzika kucheza tenesi kwa mwaka mzima
9 years ago
Bongo509 Nov
Inspekta Haroun kurap matukio ya mwaka mzima kwenye ‘Januari/Disemba’
![Inspekta](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Inspekta-300x194.jpg)
Inspekta Haroun amejipanga kufunga mwaka kwa kuachia wimbo uitwao Januari/Disemba utaokuwa ukizungumzia matukio yote ya mwaka mzima.
Inspekta amesema amefanya hivyo ili watu wabaki na kumbukumbu ya matukio ya mwaka 2015.
“Nimezungumzia matukio ya mwaka mzima kuanzia Januari mpaka Disemba na ni idea ili kupata kitu kizuri ambacho hata mtu akikisikiliza anaelewa mwaka umeendaje,” rapper huyo ameiambia Bongo5.
“Hii ngoma itatoka mwaka huu, sasa hivi nipo kwenye michakato ya kuimalizia na...
11 years ago
CloudsFM09 Jul
MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI
Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.
Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61mtUTz9nD1KEnSjyJcN5-XP71nTWmkMQWKBqdImnp28FrxBbHG1U*YlvRqtMCB9ylOJUvJcMylsToEEssBdg52/flora.jpg)
FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA