Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC ELIBARIKI KINGU: Jogoo mmoja sawa na matibabu mwaka mzima

HAYATI Mwalimu Julius Nyerere alitangaza maadui watatu wa maendeleo kuwa ni umaskini, maradhi na ujinga. Kutokana na tangazo hilo kwa wakati huo, kila taasisi kwa nafasi yake ilibeba jukumu la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Twende Sawa: EFM yazindua shehere za kutimiza mwaka mmoja tangu ianze kwenda hewani

Kituo cha radio EFM kimezindua sherehe za maadhimisho ya kutimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake tarehe 2/4/2014. Mkurugenzi wa mawasiliano EFM, Dennis Ssebo (kulia) akiwa na mkuu wa vipindi EFM, Dickson Ponela Sherehe hiyo imepewa jina la ‘Twende Sawa’ kama njia ya kuwashukuru wasikilizaji kwa kwenda sawa tangu kuwashwa kwa mitambo ya EFM. Akizungumza na […]

 

10 years ago

Mwananchi

Lubuva: Mgombea mmoja ukawa sawa

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Damian Lubuva amesema mpango wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wa kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu mwakani ni halali kisheria.

 

9 years ago

Michuzi

MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akizungumza na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme wa maji cha Mtera ili kukagua kituo hicho na kuzungumza na wataalam.Wa Tatu kulia ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise), na wa Nne kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus Mulokozi.Katibu Mkuu Wizara...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Atoboa Sababu ya Kutofanya ‘Movie’kwa Mwaka Mzima

Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael,’Lulu’amefunguka sababu ya kutofanya filamu kwa mwaka mzima kuwa alikuwa bize na shughuli zingine ikiwemo masomo.

Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa mwaka jana wote alikuwa ‘host’ kwenye mashindano ya kutafuta vipaji vya uigizaji (Tanzania Movie Talents) ambayo ilifanyika karibu mikoa yote,pia alikuwa bize na masomo katika chuo cha  Magogoni akichukua kozi ya Public Administration.

‘’Mwaka jana wote sikufanya filamu kabisa kutokana na kuwa bize...

 

9 years ago

Bongo5

Serena Williams atangaza kupumzika kucheza tenesi kwa mwaka mzima

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake, Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha. Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams mwenye miaka 34 amesema” nimecheza nikiwa na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,” Nyota huyo wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Inspekta Haroun kurap matukio ya mwaka mzima kwenye ‘Januari/Disemba’

Inspekta

Inspekta Haroun amejipanga kufunga mwaka kwa kuachia wimbo uitwao Januari/Disemba utaokuwa ukizungumzia matukio yote ya mwaka mzima.

Inspekta

Inspekta amesema amefanya hivyo ili watu wabaki na kumbukumbu ya matukio ya mwaka 2015.

“Nimezungumzia matukio ya mwaka mzima kuanzia Januari mpaka Disemba na ni idea ili kupata kitu kizuri ambacho hata mtu akikisikiliza anaelewa mwaka umeendaje,” rapper huyo ameiambia Bongo5.

“Hii ngoma itatoka mwaka huu, sasa hivi nipo kwenye michakato ya kuimalizia na...

 

11 years ago

CloudsFM

MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI

Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.

Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...

 

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA

ELIMU
Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227
FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari. Msanii wa Bongo Muvi na muziki Bongo, Flora Mvungi akiwa na mwanaye Tanzanite. NDOA NA UIGIZAJI
Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani