Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Inspekta Haroun kurap matukio ya mwaka mzima kwenye ‘Januari/Disemba’

Inspekta

Inspekta Haroun amejipanga kufunga mwaka kwa kuachia wimbo uitwao Januari/Disemba utaokuwa ukizungumzia matukio yote ya mwaka mzima.

Inspekta

Inspekta amesema amefanya hivyo ili watu wabaki na kumbukumbu ya matukio ya mwaka 2015.

“Nimezungumzia matukio ya mwaka mzima kuanzia Januari mpaka Disemba na ni idea ili kupata kitu kizuri ambacho hata mtu akikisikiliza anaelewa mwaka umeendaje,” rapper huyo ameiambia Bongo5.

“Hii ngoma itatoka mwaka huu, sasa hivi nipo kwenye michakato ya kuimalizia na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa

Rapper mkongwe, Inspector Haroun aka Babu amesema pamoja na watu kibao kumtaka agombee nafasi mbalimbali za uongozi katika mtaa wake, amekataa kufanya hivyo kwakuwa anaamini muziki bado unamuhitaji. Inspector Haroun alikiambia kipindi cha Leo Tena, Clouds FM kuwa, hajajipanga kuwa kiongozi huku akiwatakia heri wale wote waliotangaza nia mpaka sasa. “Niseme kitu kimoja kwamba miaka […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich One atoka na Inspekta Haroun

MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspekta Haroun’, aliyetikisa katika ulimwengu wa muziki huo miaka ya nyuma, anatarajia kusikika tena katika wimbo ‘Ndwee’ wa nyota wa...

 

9 years ago

Bongo5

Inspekta Haroun: Muziki unahitaji mapambano, sijakata tamaa

Inspekta Haroun amedai haina haja ya msanii kupata stress baada ya kutoa ngoma kadhaa na zikashindwa kufanya vizuri. Rapper huyo mkongwe amewataka wakongwe wenzake kukubali matokeo yoyote yanayotokea katika muziki wao. “Hauitaji kuwa na stress baada ya kuona huwezi kwenda popote. Unapoona umegota sehemu ujue mbele yako kuna kitu kizuri kinakuja,” rapper huyo ameiambia Planet […]

 

9 years ago

Bongo5

Kuiga muziki wa nje itatuletea athari baadae — Inspekta Haroun

Mkongwe wa Bongo fleva Inspekta Haroun amesema kuwa kitendo cha wasanii wengi wa sasa kuiga mitindo ya muziki wa nje inachangia kupoteza ladha ya muziki wetu. Inspekta ambaye anatakumbulika kwa hits kali ikiwemo ‘Mtoto Wa Geti kali’ aliyofanya akiwa Gangwe Mob, amesema wasanii wa sasa wanaimba vizuri na kufanya vizuri, lakini muziki wao una vionjo […]

 

10 years ago

Dewji Blog

TWAA yamtunukia Tuzo ya Mafanikio Mwanamke wa Mwaka, Inspekta Prisca Komba

Rais wa TWAA Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangza mshindi

Rais wa TWAA, Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangaza washindi.

..Mama Debora Mwenda atwaa tuzo ya ‘Lifetime Achievement Award’

Na Andrew Chale wa modewjiblog

Taasisi ya Shirika la kijamii Tanzania Women of Achievement Awards (TWAA),  wamewatunukia tuzo Wanawake mbali mbali Nchini kwa mafanikio yao katika tuzo za Wanawake wenye MafanikioTanzania zilizofanyika leo Machi 7, katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam,  ambazo mwaka huu zinafanyika kwa mwaka wa Saba, mfululizo...

 

9 years ago

Michuzi

MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akizungumza na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme wa maji cha Mtera ili kukagua kituo hicho na kuzungumza na wataalam.Wa Tatu kulia ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise), na wa Nne kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus Mulokozi.Katibu Mkuu Wizara...

 

9 years ago

MillardAyo

Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 …

Mtu wangu wa nguvu najua tunaelekea kuuaga mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016. Kaabla ya kumalizika mwaka 2015 naomba nikusogezee video ya matukio ya kuchekesha katika soka yaliyotokea kwa mwaka 2015. Katika hii video kuna matukio ya Pep Guardiola na Frank Ribery. Jamaa kumbiss Zlatan Ibrahimovic. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]

The post Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 … appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Atoboa Sababu ya Kutofanya ‘Movie’kwa Mwaka Mzima

Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael,’Lulu’amefunguka sababu ya kutofanya filamu kwa mwaka mzima kuwa alikuwa bize na shughuli zingine ikiwemo masomo.

Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa mwaka jana wote alikuwa ‘host’ kwenye mashindano ya kutafuta vipaji vya uigizaji (Tanzania Movie Talents) ambayo ilifanyika karibu mikoa yote,pia alikuwa bize na masomo katika chuo cha  Magogoni akichukua kozi ya Public Administration.

‘’Mwaka jana wote sikufanya filamu kabisa kutokana na kuwa bize...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC ELIBARIKI KINGU: Jogoo mmoja sawa na matibabu mwaka mzima

HAYATI Mwalimu Julius Nyerere alitangaza maadui watatu wa maendeleo kuwa ni umaskini, maradhi na ujinga. Kutokana na tangazo hilo kwa wakati huo, kila taasisi kwa nafasi yake ilibeba jukumu la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani